GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,114
- 110,498
Ifike tu wakati sasa tukubalini kuwa 'tumesharogwa' na Moshi (Mvuke) wa Mwenge ndiyo maana tunapelekwa na kufanyiwa watakavyo na tunaenda nao hivyo hivyo tu.
Si muda mwingi tulikuwa tunamjadili sijui Sadala baadae akaja Mzee Mpili kabla ya akina Msukuma na Muhongo kutuchanganya zaidi na Zawadi Mauya akapigilia Msumari wa Kutusahaulisha Kujadili Mambo makubwa na ya Msingi Kwetu.
Tutulieni tu hivi hivi 'tukomeshwe' vizuri mpaka Akili zetu zitukae sawa huku kila Siku tu watu wa SSIT wakiendelea kuwa Wabunifu kwa kujua vyema Akili za Watanzania na kutuhamisha au kutupeleka watakako na tunatii kama wale Mbuzi wa Yule Mpemba anayeogopwa kwa Uchawi (Ndumba) pale Mbezi Beach Makonde.
Kwa hili wala siwaonei Huruma. Mkome!
Si muda mwingi tulikuwa tunamjadili sijui Sadala baadae akaja Mzee Mpili kabla ya akina Msukuma na Muhongo kutuchanganya zaidi na Zawadi Mauya akapigilia Msumari wa Kutusahaulisha Kujadili Mambo makubwa na ya Msingi Kwetu.
Tutulieni tu hivi hivi 'tukomeshwe' vizuri mpaka Akili zetu zitukae sawa huku kila Siku tu watu wa SSIT wakiendelea kuwa Wabunifu kwa kujua vyema Akili za Watanzania na kutuhamisha au kutupeleka watakako na tunatii kama wale Mbuzi wa Yule Mpemba anayeogopwa kwa Uchawi (Ndumba) pale Mbezi Beach Makonde.
Kwa hili wala siwaonei Huruma. Mkome!