Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 335
- 658
Ahmed Ally wa Simba amekuwa akijiita Semaji la CAF. Taarifa hizo siyo za kweli, pichani chini Veron Mosengo Omba ndiye msemaji wa shirikisho la soka barani Africa CAF, Kwa Mujibu wa katiba ya shirikisho hilo Katibu mkuu yaani General Secretary ndiye msemaji wa taasisi
Pia nimekuta pahala jezi zimeandikwa Simba bingwa wa Mapinduzi 2023/24 Taarifa hizo pia siyo za kweli.Bingwa wa Mapinduzi ni Mlandege
Pia nimekuta pahala jezi zimeandikwa Simba bingwa wa Mapinduzi 2023/24 Taarifa hizo pia siyo za kweli.Bingwa wa Mapinduzi ni Mlandege