Kama hii ni nyumba yako kweli basi shikamoo Miriam Odemba

17161_401249325180_684350180_10493158_1164273_n.jpg

miriam+odemba.jpg

Kumbe huyo ndio mzungu wake...............
 
Hongera Miriam..waache hao wanaokalia kushndana kubadilisha magari,na design za ma handbag!
Heaven on earth..sas nakuelewa kwann ulikua unataka white colour
 
Mijitu mingine bhna,inaponda utafikr baba zao wanamilik hat vibanda...she is a woman,u have to appreciate,we dume zima umeshindwa hat kujenga kibanda,hata kama kahongwa ni yeye,kauze na wewe uone kama utajengew hat banda la kuku
 
Mbezi,kigamboni,Arusha etc kuna nyumba kubwa na nzuri kuliko hiyo. Hapo hamna hata fence,garden,geti la ukweli na hata haijamaliziwa vizuri. Tuache utani wasanii wetu wanadeserve more than this. Nimepita leo sehemu nimesimama dakika kama tatu nashangaa nyumba sasa ukija hadi hadi kwenye mitandao ya kijamii na kusifia hii nyumba kwamba watanzania tuige nakushangaa. Anyway amejitahidi coz hao wengine hawana hata vibanda,shame kwa wasanii wetu.

We unayo kama hiyo?? Hata kama haina fence. Kama unayo hongera pia, one step at a time fence na garden utamalizia taratibu!
 
We unayo kama hiyo?? Hata kama haina fence. Kama unayo hongera pia, one step at a time fence na garden utamalizia taratibu!

Hahaha mimi sina kama hiyo kwani kusema mtu kavaa nguo mbaya ina maana yako nzuri? Au kwani kumwambia mtu aliyepata 10% amefeli ina maana wewe uliyepata 5% umefaulu? Mimi naongea ukweli uliopo,watu maarufu bongo wanakuwa na majina makubwa lakini wanaishi katika hali duni, Kanumba kafa na mil 45 benki, Ngwair ndio kabisa hata hatujui ila wanasema alikuwa hana hela sasa watu tunaongea nyie mnasema "wewe unayo?" . Mtabaki hivyo hivyo
 
Hahaha mimi sina kama hiyo kwani kusema mtu kavaa nguo mbaya ina maana yako nzuri? Au kwani kumwambia mtu aliyepata 10% amefeli ina maana wewe uliyepata 5% umefaulu? Mimi naongea ukweli uliopo,watu maarufu bongo wanakuwa na majina makubwa lakini wanaishi katika hali duni, Kanumba kafa na mil 45 benki, Ngwair ndio kabisa hata hatujui ila wanasema alikuwa hana hela sasa watu tunaongea nyie mnasema "wewe unayo?" . Mtabaki hivyo hivyo

Kama huna kama hiyo basi unachozungunza ni wivu na majungu! Mi nilijua unayo zaidi ya hiyo??
 
Mijitu mingine bhna,inaponda utafikr baba zao wanamilik hat vibanda...she is a woman,u have to appreciate,we dume zima umeshindwa hat kujenga kibanda,hata kama kahongwa ni yeye,kauze na wewe uone kama utajengew hat banda la kuku


hahahaha hakika hilo dongo limempata
 
Hongera Miriam..waache hao wanaokalia kushndana kubadilisha magari,na design za ma handbag!
Heaven on earth..sas nakuelewa kwann ulikua unataka white colour

kip it up odemba,, ss hao wengine nawapa wiki utaanza kuwasikia watakavyoanza kujinadi.
 
Atakosaje jumba Kali wakati mwili anautumia vizuri!? Hongera zake.
 
Back
Top Bottom