Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,639
Kumbe huyo ndio mzungu wake...............
duh yamekuwa hayo!!!!! Hata hiyo sehemu nyingine uliyonayo inalipa tu. we itumie na utaona mafanikio yake. unatamani wakati rasilimali unayo!Kweli Nyapu inalipa. natamani ningekuwa nayo ya bandia nifanye biashara
Ongera = Hongera
sio kweli! ongera si sawa na hongera! umesoma wapi mathematics wewe?
hahaha yaan we ni mwehu kweli
Mbezi,kigamboni,Arusha etc kuna nyumba kubwa na nzuri kuliko hiyo. Hapo hamna hata fence,garden,geti la ukweli na hata haijamaliziwa vizuri. Tuache utani wasanii wetu wanadeserve more than this. Nimepita leo sehemu nimesimama dakika kama tatu nashangaa nyumba sasa ukija hadi hadi kwenye mitandao ya kijamii na kusifia hii nyumba kwamba watanzania tuige nakushangaa. Anyway amejitahidi coz hao wengine hawana hata vibanda,shame kwa wasanii wetu.
We unayo kama hiyo?? Hata kama haina fence. Kama unayo hongera pia, one step at a time fence na garden utamalizia taratibu!
Hahaha mimi sina kama hiyo kwani kusema mtu kavaa nguo mbaya ina maana yako nzuri? Au kwani kumwambia mtu aliyepata 10% amefeli ina maana wewe uliyepata 5% umefaulu? Mimi naongea ukweli uliopo,watu maarufu bongo wanakuwa na majina makubwa lakini wanaishi katika hali duni, Kanumba kafa na mil 45 benki, Ngwair ndio kabisa hata hatujui ila wanasema alikuwa hana hela sasa watu tunaongea nyie mnasema "wewe unayo?" . Mtabaki hivyo hivyo
Mijitu mingine bhna,inaponda utafikr baba zao wanamilik hat vibanda...she is a woman,u have to appreciate,we dume zima umeshindwa hat kujenga kibanda,hata kama kahongwa ni yeye,kauze na wewe uone kama utajengew hat banda la kuku
Hongera Miriam..waache hao wanaokalia kushndana kubadilisha magari,na design za ma handbag!
Heaven on earth..sas nakuelewa kwann ulikua unataka white colour
Sio zote zinazolipaKweli Nyapu inalipa. natamani ningekuwa nayo ya bandia nifanye biashara
Vp unataka upate uhakika ukafanye yako? Maana umeuliza kwa hamu sana. Just a hard joke.Ni yake kweli?
Kweli Nyapu inalipa. natamani ningekuwa nayo ya bandia nifanye biashara