Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Tumieni akili acheni ujinga na upuuzi.
Kila kona watu watu wanalalamika kuna dhuluma na uhuni.
Mbona hayati Magufuli alipinga haya?
Mbona alikusanya mapato na kudhibiti wizi wa mali za umma.
Haya mbona hamsemi ukweli kuwa mama amefeli?
Mama amefeli
Kila kona watu watu wanalalamika kuna dhuluma na uhuni.
Mbona hayati Magufuli alipinga haya?
Mbona alikusanya mapato na kudhibiti wizi wa mali za umma.
Haya mbona hamsemi ukweli kuwa mama amefeli?
Mama amefeli