Kama hali itaendelea hivi ni bora nifunge haka kabiashara

Kurunzi

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
9,285
9,917
Nipeni mawazo wa JF wenzangu, baada ya kuona kamshara kangu hakatoshi nilifanya mpango nikazama bank na kukopa nikafungua kamradi kangu ka kuuza vinyaji ka pub, mwanzo mauzo kwa siku wastani ilifika lak 2 mpka 350 wikend kawaida laki 120 mpaka lak 2 ambayo ilisaidia kusukuma siku lakini toka hilitatizo la umeme na kupanda kwa gharama za maisha watu hawaspend na vinyaji havitoki kabisa madhalani mwezi uliyoisha mauzo ni elf 60 mpka 100000 wkend siku za kawaida 30000 mpaka elf 60. Wafanyakazi kaunta namlipa 120000 na wanje 90000 na pango 150000 bado gharama zingine nimejikuta na run in loss hata wale wana JF Wenzangu siwaoni tena kuja wamekata mguu ,nafikiria nipafunge au nipakodishe naombeni ushauri wenu.
 
Back
Top Bottom