GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,117
Ukaribu ( wa Kiurafiki ) wa Baba yake na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Kikwete ndiyo unampa Jeuri na Kiburi ila taratibu na Wao sasa wanaanza Kumnawa kiaina ila Yeye hajui na hajashtuka.Ataishia kubaya sana..., mwisho aandamwe na misongo na Uchizi afe!
Watu wanamtunzia mafaili tu πππ
Serikali na watu wake kuharibu maisha yake na line yake ni dakika sifuri tu "0" wakiamua.
Amekuwa mropokaji na mwenye kuona hii nchi kama ya Baba yake au ya wale marafiki zake anaoshinda kutwa anajipendekeza kwao... Wale waarabu. Subiri Serikali impukutishe ukame umuandame, arudi maisha ya kushinda kwenye vibaraza vya misikiti ya Kariakoo ndo akili itamkaa sawa na nidhamu itakapomrudi.
Tena na hivi alikuwaga akipita hasalimii watu... HEHEHEEEE! ngoma nagwa πππ
Ni swala la muda tu!..., taratibu anayavagaa ππππ