Kama Haji Manara ameukana uraia wake naishauri Serikali impeleke Ukanda wa Gaza akajumuike na wenzake huko

Ataishia kubaya sana..., mwisho aandamwe na misongo na Uchizi afe!

Watu wanamtunzia mafaili tu 😊😊😊

Serikali na watu wake kuharibu maisha yake na line yake ni dakika sifuri tu "0" wakiamua.

Amekuwa mropokaji na mwenye kuona hii nchi kama ya Baba yake au ya wale marafiki zake anaoshinda kutwa anajipendekeza kwao... Wale waarabu. Subiri Serikali impukutishe ukame umuandame, arudi maisha ya kushinda kwenye vibaraza vya misikiti ya Kariakoo ndo akili itamkaa sawa na nidhamu itakapomrudi.

Tena na hivi alikuwaga akipita hasalimii watu... HEHEHEEEE! ngoma nagwa πŸ˜‚πŸ˜ŠπŸ‘

Ni swala la muda tu!..., taratibu anayavagaa πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ‘
Ukaribu ( wa Kiurafiki ) wa Baba yake na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Kikwete ndiyo unampa Jeuri na Kiburi ila taratibu na Wao sasa wanaanza Kumnawa kiaina ila Yeye hajui na hajashtuka.
 
Mtu huna adabu hata kidogo, unasema wewe sio Mtanzania, eti kwa sababu tu umefungiwa kujihusisha na soka, unasema hauko tayari kuishabikia Stars kwa sababu hutakiwi nchini.

Watu kama hawa ni hatari sana kwa usalama wa Taifa, anamtisha nani? Naishauri idara ya uhamiaji imuite huyu mkaidi na athibitishe kama kweli haitaki nchi mara moja safirisheni hadi Gaza Strip ikamtupe huko akabiliane na waisrael ambao wameshatoa masaa 24 watu wasambaratike eneo la Gaza.

Tutashukuru sana.
Huyu mbwiga tangu aseme bandari wauziwe Waarab kwa sababu aliijenga Sultani niliona ni mpunbavu wa kiwango cha lami
 
Marekani ame stand na Israel na amepeleka silaha na jeshi.

Huku watu wamening'ininiza kengele ndani ya kanzu wanajifanya Wapalestina
Mbona wagalatia kibao huku tz wanastand na israel hadi bendera wanazo lakini hawaendi huko israel?
 
Mtu huna adabu hata kidogo, unasema wewe sio Mtanzania, eti kwa sababu tu umefungiwa kujihusisha na soka, unasema hauko tayari kuishabikia Stars kwa sababu hutakiwi nchini.

Watu kama hawa ni hatari sana kwa usalama wa Taifa, anamtisha nani? Naishauri idara ya uhamiaji imuite huyu mkaidi na athibitishe kama kweli haitaki nchi mara moja safirisheni hadi Gaza Strip ikamtupe huko akabiliane na waisrael ambao wameshatoa masaa 24 watu wasambaratike eneo la Gaza.

Tutashukuru sana.
Atalia njia nzima kwa mayowe na kwikwi za kutosha.Hivi hata skauti alipita kweli?πŸ€”
 
Mlevi huyo.Kila akitoa kauli apimwe ulevi ili kujua kama ni nguvu ya ulevi.
 
I stand with Palestine upo Makete si uende Gaza uka stand nao vizuri

Mnajipendekeza kwa mayahudi, aise nyie watu ni wa ajabu sana, mnatemewa lakini mpo nao tu πŸ˜„ hawaukubali ukristo lakini mpo tu πŸ˜„ hawamtambui yesu lakini mpo tu πŸ˜„
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Kwahiyo unataka niwachukie!! Ukristo wako ndio unakufundisha kuishi hivyo? Wale ni ndugu zetu katika imani hivyo upende usipende habari ndio hiyo
Wapi nmekwambia uwachukie? huwezi mchukia mtu alafu umihubirie injiri nmekushangaa akiongewa mwarabu unaumia kama vile wamegusa kende zako
 
Sawa myahudi mweusi umesikika, kwa taarifa yako hata mimi pia sio shabiki wa taifa stars

Kama wewe ni kidume nenda kwa mayahudi wenzio ukawasaidie kama utarudi salama.

I stand with palestine πŸ‡΅πŸ‡Έ mayahudi ❌
I stand with palestine too
 
Back
Top Bottom