Kama Euro-zone itavunjika,Je East Africa itapona?

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
kuna hatari tumeanza kuiona toka mbali,inawezekana Umoja wa Ulaya ukavunjika,Greese tayari imeonyesha dalili za kujiondoa kutokana na madeni makubwa inayoikabili,kinachotazamwa sasa hivi ni nani atafaidika iwapo Ulaya itavunjika,inaaminika strongest economic eurozone Germany ndiye atakaye faidika zaidi,tunachofikiri kama Euro itavunjika je East africa itapona?je kuna haja ya kutegemea huu muungano wetu ambao umegubikwa na kutokuaminiana?soma zaidi hapa:::www.en.for.ua.news
 
Mkuu director1.
Ni kweli German ndiyo strongest country (economically) in Euro Zone, lakini linapokuja swala la kuvunjika huo muungano wao, sio kweli kwamba German ndio itafaidika moja kwa moja. Sababu ya msingi ni kwamba, hayo madeni ambayo hayalipiki, wakopeshaji wakubwa ni German Institutes, sasa linapotokea swala la ku-defaults, German watapoteza hayo mapesa yao, ndio maana German wanaangaika kuakikishe Greece haiondoki Euro Zone pia mpango wa bailout unafanikiwa...
 
EAC hatutumii hela moja, kila uchumi unajitegemea hata kenya leo ikipata matatizo kiuchumi haiwezi kuaffect tanzania or uganda...
 
BTW statistics zinaonyesha UK inafanya biashara nzuri tu out of EU zone hivi sasa wana mkakati wa kuboresha biashara hiyo na hawataki kusikia kabisa habari za Euro maana wamekuwa wanaisaidia lakini nchi za Greece, Spain, Italy na nyinginezo ziko taabani. haya ya kushinikizana kwenye EAC yatapita tu kama Wakenya wenyewe wameuana kama tumbili itakuwa sembuse kwenye hii community? Wanachofanya hivi sasa ni kukimbilia na kujie-stablish Tanzania maana Kenya ni moto.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom