Si kweli mkuu , humtendei haki ... Hii ni akili ndogo!Akili fupi hii. Bwawa la Nyerere linajengwa kwa fedha za Ruzuku ya Vyama? Fedha za Miradi ya Serikali zinatolewa na CCM?
Eti wapigaji wote. Kwani serikali inaongozwa na chama gani? Miaka zaidi 60 tumeongozwa na CCM /TANU , wewe Leo unadai CHADEMA ni wapigaji. Wameongoza serikali lini?Wangejenga kama Ccm ila hesabu zingekua za kichina kama Ccm maana wote ni wapigaji hamna mwenye hafadhali kila mtu anatafuta upenyo wa kula keki ya taifa kwa pupa
We ni mbwiga kweli kweli, unafikiri miradi ya maendeleo inajengwa kwa ruzuku na michango ya, wanachama?Tangu CHADEMA ianze kupokea ruzuku, imepata zaidi ya bilioni 300, lakini imewachukua miaka 30 kupata jengo la ofisi la ghorofa moja.
Je, wakikabidhiwa nchi, wataweza kujenga miradi mikubwa mikubwa ndani ya muda mfupi?
Jengo hili ni pesa za umma Tanzania viongozi Lao mojaWangetumia pesa za umma kujenga hizo miundombinu ila wangepiga sana pesa kama wafanyavyo ccm
Chadema wanapiga ruzuku za wabunge waliowakataa wangekua hawana tamaa wasingechukua ruzuku za kina halima mdee wakati wamewafuta uanachamaEti wapigaji wote. Kwani serikali inaongozwa na chama gani? Miaka zaidi 60 tumeongozwa na CCM /TANU , wewe Leo unadai CHADEMA ni wapigaji. Wameongoza serikali lini?
Likijiniwa hili swali naomba unitagKuna mahali CCM inajenga SGR?
Tangu CHADEMA ianze kupokea ruzuku, imepata zaidi ya bilioni 300, lakini imewachukua miaka 30 kupata jengo la ofisi la ghorofa moja.
Je, wakikabidhiwa nchi, wataweza kujenga miradi mikubwa mikubwa ndani ya muda mfupi?