Hebu ulete mkuuupo ushaidi
Tupe mkuu. Mi nimekuwa nikiutafuta sana bila mafanikio
piteni hapaHebu ulete mkuu
Mzimu wa Kolelo katika Ubora wakepiteni hapa
www.miujiza-ya-quran.com/2012/03/quran-na-ukuaji-wa-mimba.html?m=1
ila dharau si uungwana
ushaidi zaidi unakuja
Nani Kiranga au!!
BWANA einstein newton ulitaka nilete sample za huo udongo uupime ili tupate kuujua kuwa ni mfinyanzi au kichanga ama ulitaka ushaidi gani mana ushaidi mnaotaka nyinyi nashindwa kuelewa ni upi mnaoutakaMzimu wa Kolelo katika Ubora wake
Sikujua kumbe hata Maana ya Ushaidi hujui?
Vip kuhusu hiiWanyama na mimea, Mwenyezi Mungu mkuu Mtukufu alisema kuwa na vikawa..
Mfano, na wawepo Wanyama basi kumuomba na kufumbua wakawa
Iwepo bahari na samaki na kumbe wengine nayo ikawa
Ivyo ivyo kwa mimea,
Wasalaam
Watu weusi walikuwepo kabla ya Adamu!
Kwahiyo unaiamini biblia mkuu?Mwanzo 1:11-12 mimea na miche iliumbwa kwa kutamkwa.
mwanzo 1:20-22 wanyama wa baharini na ndege wa angani waliumbwa kwa kutamkwa.
Mwanzo 1:24-25 wanyama wote wa nchi kavu, wafugwao na wa mwituni waliumbwa kwa kutamkwa.
mwanzo 1:26 binadamu anaumbwa kwa kufanywa
Mwanzo 2:7 binadamu aliumbwa kutokana na mavumbi (Maelezo ya namna alivyofanywa/umbwa)
Kwahiyo hii inathibitisha kuwa mwanadamu ameumbwa na Mungu?piteni hapa
www.miujiza-ya-quran.com/2012/03/quran-na-ukuaji-wa-mimba.html?m=1
ila dharau si uungwana
ushaidi zaidi unakuja
bila shaka kama quran ilielezea uundaji na ukuaji wa mimba toja miaka 1400 iliyopita na teknolojia sayansi inekuja kugundua ukuaji wa maendelo ya mimba miaka ya hivi karibuni kipi kinachokufanya wewe usiamini kuwa binadamu tumeumbwa na munguKwahiyo hii inathibitisha kuwa mwanadamu ameumbwa na Mungu?
Ndiyo mkuu, naiamini BibliaKwahiyo unaiamini biblia mkuu?