Wanajamii,
Nashindwa kabisa kuelewa kwamba hawa wabunge wa katiba wanania njema na sisi au wanataka tufahamu kuwa sisi wanainchi tutake tusitake tutabidi tukubaliane na maoni ya ccm na pale watakaposhindwa watatumia nguvu ambapo ni kutumia mtutu wa bunduki.
Kweli komba ambae ni Kapteni katika jeshi anapata wapi ujasiri wa kusema hayo? Mwenyekiti aliyechaguliwa na kura nyingi mbona nae anakaa kimya nimesikitika sana hata kukata tamaa kabisa kwamba mabillioni yetu yameungua bila sababu. KULIKUWA NA SABABU GANI KUANZISHA BUNGE HILI ?
Hivi haingii akilini kwamba kuna watu ati akina dr nchimbi na wengine wakizungumza ati Mh. Warioba anyamaze ati asiwakoroge wanainchi, hivi ni kwa sababu sisi hatuna uwezo wa kukutana na waandishi wa habari au???????? Wangekuwa wastaarabu wangejaribu kujibu maswali ya Warioba WASIJIDANGANYE WANAINCHI TUNAJUA LA KUFANYA UKWELI UTUWEKE HURU NDIO MBIU YA PASAKA.
Jana kuna mbunge toka Zanzibar ambae alitoa uelewa wa serkali tatu kiuchumi na kutoa mfano wa Uarabuni na muungano wao na akatoa namna sisi tungefuata ilikupata muungano ambao ungetufaidisha kiuchumu. Mheshimiwa huyu hakuungwa na wabunge licha ya kutoa ufafanuzi akinifu ila aliposimama mbunge wakumkashifu Mhe. Warioba alishangiliwa na kupigiwa makofi nikajiuliza hivi hawa ni watoto wa mitaani wanoshangilia matusi ya mitaani au?????Magazeti leo nilidhani pia wangetoa hata neno la Mbunge huyu na ushajaa wa kuelezea serkali 3 lakini kama kawaida yamezibwa mdomo puuuu!
Hivi najiuliza tena kodi zetu zimeungua hivi, kama walipa kodi hakuna njia ya kutafuta ufumbuzi wa kuzuia ulaji huu?????
Wanafunga leo tunawangoja huku mitaani watueleze vizuri walikuwa na maana gani kula pesa zetu bila huruma. Naungana na mtoa maoni aliyesema komba na lukuvi wanatakiwa wasipewe nauli ya kurudi nyumbani kwa uchiochezi wao, makonda apelekwe kwa viongozi wa dini yake akapewe elimu ya kina juu ya AMRI YA 4 ili aweze kuwa na heshima na ulimi wenye kuleta amani kwani hafahamu kuwa mtoto mwenye malezi mazuri ni tunu kwa familia na Taifa lake si uliona Yesu alipowajibu wazazi wake pale kanisani kwa unyenyekevu ingawa alijua wanaelewa kuwa yeye Yesu amekuja kufanya nini hivyo walipaswa wasimuulize maswali mengi.
Mhe. Warioba na wajumbe wote Mungu awalinde, awaongoze awatie nguvu ilimsikate tamaa na yote yanayosemwa dhidi yenu . Takwimu mlizotupa zinakila ukweli kwani mliangalia uzito wa maeneo mfano Pemba na Kigoma kuwa na watoa maoni wengi it was obvious these areas are victim of poor infrastructure, poor economy and most Leaders have been spending less time to these areas BUT YOU WENT AND CONSOLED THEM BY TAKING TIME TO READ THEIR HEARTS!!! BRAVO nadhani wasomi wengi wenye PERMANENT HEAD DAMAGE hawakuliona hilo . CONGRATS…………. VIVA du Warioba Viva du Wajumbe wote tu lemond!
Nashindwa kabisa kuelewa kwamba hawa wabunge wa katiba wanania njema na sisi au wanataka tufahamu kuwa sisi wanainchi tutake tusitake tutabidi tukubaliane na maoni ya ccm na pale watakaposhindwa watatumia nguvu ambapo ni kutumia mtutu wa bunduki.
Kweli komba ambae ni Kapteni katika jeshi anapata wapi ujasiri wa kusema hayo? Mwenyekiti aliyechaguliwa na kura nyingi mbona nae anakaa kimya nimesikitika sana hata kukata tamaa kabisa kwamba mabillioni yetu yameungua bila sababu. KULIKUWA NA SABABU GANI KUANZISHA BUNGE HILI ?
Hivi haingii akilini kwamba kuna watu ati akina dr nchimbi na wengine wakizungumza ati Mh. Warioba anyamaze ati asiwakoroge wanainchi, hivi ni kwa sababu sisi hatuna uwezo wa kukutana na waandishi wa habari au???????? Wangekuwa wastaarabu wangejaribu kujibu maswali ya Warioba WASIJIDANGANYE WANAINCHI TUNAJUA LA KUFANYA UKWELI UTUWEKE HURU NDIO MBIU YA PASAKA.
Jana kuna mbunge toka Zanzibar ambae alitoa uelewa wa serkali tatu kiuchumi na kutoa mfano wa Uarabuni na muungano wao na akatoa namna sisi tungefuata ilikupata muungano ambao ungetufaidisha kiuchumu. Mheshimiwa huyu hakuungwa na wabunge licha ya kutoa ufafanuzi akinifu ila aliposimama mbunge wakumkashifu Mhe. Warioba alishangiliwa na kupigiwa makofi nikajiuliza hivi hawa ni watoto wa mitaani wanoshangilia matusi ya mitaani au?????Magazeti leo nilidhani pia wangetoa hata neno la Mbunge huyu na ushajaa wa kuelezea serkali 3 lakini kama kawaida yamezibwa mdomo puuuu!
Hivi najiuliza tena kodi zetu zimeungua hivi, kama walipa kodi hakuna njia ya kutafuta ufumbuzi wa kuzuia ulaji huu?????
Wanafunga leo tunawangoja huku mitaani watueleze vizuri walikuwa na maana gani kula pesa zetu bila huruma. Naungana na mtoa maoni aliyesema komba na lukuvi wanatakiwa wasipewe nauli ya kurudi nyumbani kwa uchiochezi wao, makonda apelekwe kwa viongozi wa dini yake akapewe elimu ya kina juu ya AMRI YA 4 ili aweze kuwa na heshima na ulimi wenye kuleta amani kwani hafahamu kuwa mtoto mwenye malezi mazuri ni tunu kwa familia na Taifa lake si uliona Yesu alipowajibu wazazi wake pale kanisani kwa unyenyekevu ingawa alijua wanaelewa kuwa yeye Yesu amekuja kufanya nini hivyo walipaswa wasimuulize maswali mengi.
Mhe. Warioba na wajumbe wote Mungu awalinde, awaongoze awatie nguvu ilimsikate tamaa na yote yanayosemwa dhidi yenu . Takwimu mlizotupa zinakila ukweli kwani mliangalia uzito wa maeneo mfano Pemba na Kigoma kuwa na watoa maoni wengi it was obvious these areas are victim of poor infrastructure, poor economy and most Leaders have been spending less time to these areas BUT YOU WENT AND CONSOLED THEM BY TAKING TIME TO READ THEIR HEARTS!!! BRAVO nadhani wasomi wengi wenye PERMANENT HEAD DAMAGE hawakuliona hilo . CONGRATS…………. VIVA du Warioba Viva du Wajumbe wote tu lemond!