Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 10,293
- 19,515
ππππ Aloooh weeeh... Kumbe eeehπππMim mchumba angu Yesu.
ππππ Aloooh weeeh... Kumbe eeehπππMim mchumba angu Yesu.
Kabisa kabisaππππ Aloooh weeeh... Kumbe eeeh
Unajua ulinitambulisha kwa huyo mtu kwamba ndio shemeji, Mimi kama kaka nikalidhia. Sasa unanichanganya leo π πHuyo harage alokwambia alitoroka kule milembe na cheti chake kina laminationπππ
Natakiwa kuupdate files, maana taarifa zako mpya zinasema kinyumeMie mpole sana unajua kabisa Analyse
Mi naona akimjua Mungu hayo mengine yote yatakuja natural...Kwenye mambo yake 10 basi lipo moja ambalo linatosha kabisa kumpenda nalo hilo na amani kutawala ndani ya nyumba! NB: Mkamilifu hakuna tuvumiliane madhaifu yetu
Usichukulie serious kabisa maisha yangu ya humu nina wachumba 12π€£π€£π€£π€£π€£Unajua ulinitambulisha kwa huyo mtu kwamba ndio shemeji, Mimi kama kaka nikalidhia. Sasa unanichanganya leo π π
We uliona ukorofi wangu liniNatakiwa kuupdate files, maana taarifa zako mpya zinasema kinyume
Watu mpo serious humu ....Usichukulie serious kabisa maisha yangu ya humu nina wachumba 12π€£π€£π€£π€£π€£
Babe aibu zote hizi bado unaona sina aibu!!!Aaaah wapi.
Muhimu nimevuka nusuUna 8/10 Mama.
Kuhusu vans am not sure yet, na pia Nina mashaka na aibu zako, maana unanikaziaga macho mpaka naogopa πππ
Wala usiogope.... Kuwa na amani kabisa.Tafadhali tafadhali naombaa msinifungulie uzi mim kijana mpole sana
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£EwwwwwWala usiogope.... Kuwa na amani kabisa.
Time will tell πππππ
Mnasemaga sio serious, ila kumbe mpo serious. Yakitibuka ndio tunajua π π πUsichukulie serious kabisa maisha yangu ya humu nina wachumba 12π€£π€£π€£π€£π€£
Kama ningekwambia kosa ambalo nilikusamehe juu kwa juu, ndio ungeelewaWe uliona ukorofi wangu lini