Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,459
- 4,748
Nimecheka sana jana
ndani yameli watu wa makabila na uraia tofauti walikuwa na mizigo,meli ikazidiwa uzito ikabidi kila abiria apunguze mzigo,
mzungu akatupa computer akasema 'kwetu zipo tele'
mchina akatupa box la simu akasema 'kwetu zipo tele'
mmasai akatupa shanga akasema hizi zipo kibao kwetu
mhindi akatupa box la tambuu
mchaga akabaki anahaha atupe ninikila kitu chake anakionea uchungu ghafla akamtumbukiza mmasai akasema yesu na maria hawa wapo tele arusha
wewe ungetupa nini ndugu yangu ?????????
ndani yameli watu wa makabila na uraia tofauti walikuwa na mizigo,meli ikazidiwa uzito ikabidi kila abiria apunguze mzigo,
mzungu akatupa computer akasema 'kwetu zipo tele'
mchina akatupa box la simu akasema 'kwetu zipo tele'
mmasai akatupa shanga akasema hizi zipo kibao kwetu
mhindi akatupa box la tambuu
mchaga akabaki anahaha atupe ninikila kitu chake anakionea uchungu ghafla akamtumbukiza mmasai akasema yesu na maria hawa wapo tele arusha
wewe ungetupa nini ndugu yangu ?????????