sasa ukiwapiga bakora si ndo utakuwa umewapa wanachotaka,au unazungumzia bakora zipi.Hawa wanastahili bakora wananiudhi kwelikweli! kwanini wasitafute wanawake kwenye nafasi zenye uhusika wa kike?
Naomba nipite kimyakimya.
Haki sawa kwa wote? Hapana, hawa hawatafuti haki!