Problems ni CEOs wa hayo mashirika ya umma. Hawashuki chini kujua kinachofanyika na watendaji wao. Unakuta mwekezaji anakwamishwa kwa kutaka 10%
..kwa hiyo kuna RUSHWA ktk serekali ya CCM?
Problems ni CEOs wa hayo mashirika ya umma. Hawashuki chini kujua kinachofanyika na watendaji wao. Unakuta mwekezaji anakwamishwa kwa kutaka 10%
Ukimruhusu mwekezaji awekeze nchini kwa kutolipa capital goods tax na corporate tax kwa miaka kumi ni bora zaidi kuliko kutokuwa na huo uwekezaji let say anawekeza kwenye kiwanda kitakacho zalisha ajira za watu 1000.
Mwekezaji huyo atanunua umeme, atanunua maji, atanunua mafuta ya magari, atanunua consumables mbalimbali na vitu vyote hivyo vitasaidia mzunguko wa pesa sokoni. Kingine nikuwa wafanyakazi watakao ajiriwa watalipa kodi ya PAYE na pia watakuwa na pesa(income) ya kununua mahitaji yao mbalimbali na kwa hiyo kushamirisha biashara za watu wengine kama za vyakula, mavazi, nyumba za kupanga, watalipa bills za umeme na maji, watapeleka watoto shule, hospitali nk.
Kwa ufupi serikali inatakiwa kutazama vikwazo vya uwekezaji ili kuongeza wawekezaji na kupanua uchumi badala ya kuweka vikwazo vingi ambavyo havitusaidii sana kukuza uchumi wetu.
Rushwa iko kwa wapinzani pia, rushwa haina chama..kwa hiyo kuna RUSHWA ktk serekali ya CCM?
Kuna double standards nyingi kwenye namna wanavyowasimamia wafanyabiashara na uelewa wa biashara zenyewe.
Huku TRA ndio balaa....kwenye mabaraza wanasema mfanya biashara asifungiwe biashara....kwenye mikoa wanafunga accoubt za wafanya biashara tena kwa ubabe tu. Najiuliza, kuna mamlaka ngapi zinazoendesha mambo Tanzania? Kufunga account si ndio kufunga biashara na kuchochea njia za mkato za kufanya biashara?
Tanzania, ukishaajiriwa na serikali ina maana hakuna kujari lolote linaloendelea?
Rushwa iko kwa wapinzani pia, rushwa haina chama
Hakuna cha CEO wala waziri wala katibu Mkuu, hapo ni suala la sheria zetu siyo rafiki taasisi nyingi zinatoza tozo hata kabla hujaanza biashara, mfano NEMC ukitaka kuwapeleka kwenye eneo lako lazima uwalipe pesa ya ushauri, uwalipe posho ya na usafiri, Mkemia mkuu naye vivyohivyo ili hali wanalipwa mishahara.
Nakubaliana na wewe ubabe mwingi na visasi. Unakuta mtu ana investment kubwa lkn hawalioni hilo wanamtreat kama anafanya biashara kwenye briefcase. Wanadai kodi ambazo ni kubwa mno halafu hamna justification.