Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,432
- 4,222
Why watu wengi wanaoonekana akili kubwa wakipata teuzi wanajigeuza chawa waandamizi na kusahau walikotoka. Ie Kafilika, mkumbo .
Nadhani tatizo watu wanashindwa kutofautisha kati ya Chawa na ChawaWhy watu wengi wanaoonekana akili kubwa wakipata teuzi wanajigeuza chawa waandamizi na kusahau walikotoka. Ie Kafilika, mkumbo .
Lazima tulipeKwa hiyo Tunaamini Hatudaiwi tena iyo 12T.
ongezeko hilo limemsaidiaje mwananchi wa kawaida?
ongezeko hilo limemsaidiaje mwananchi wa kawaida?
wewe unaofanya ungeshinda JF?Mkuu fanya kazi acha kujilegeza
Biashara aijulie wapiDaah kweli ukishindwa kujitegemea lazima uwe mtumwa huyu ndugu asinge ajiriwa angekua anafanya biashara zake kubwa hata za kimataifa asingekua mtumwa wa kuongea uongo mzito kiasi hiki Mungu amsaidie.
Kila mtu ana namna yake ya kuishiwewe unaofanya ungeshinda JF?
tusipangiane sasa.Kila mtu ana namna yake ya kuishi
Takwimu za serikali ya Tanzania mimi huwa siziamini sana,nyingi za kubumba,nadhani ata World bank na IMF kipindi fulani walishatilia shaka taarifa za kiuchumi za Tanzania.Kamishina wa PPP Mhe David Kafulila anasema "Wakati Rais Samia anaingia madarakani Uchumi wa Tanzania ulikuwa US$ 66BL Leo ni US$ 85BL sawa na ongezeko la US$19 wakati deni la nje ni US$ 5BL
View attachment 2945755
Takwimu za serikali ya Tanzania mimi huwa siziamini sana,nyingi za kubumba,nadhani ata World bank na IMF kipindi fulani walishatilia shaka taarifa za kiuchumi za Tanzania.
Kwa mfano sasa hivi wanakwambia mfumuko wa bei ni zaidi ya 3% lakini ukija kwa street mambo ni tofauti sana!
Takwimu za serikali ya Tanzania mimi huwa siziamini sana,nyingi za kubumba,nadhani ata World bank na IMF kipindi fulani walishatilia shaka taarifa za kiuchumi za Tanzania.
Kwa mfano sasa hivi wanakwambia mfumuko wa bei ni zaidi ya 3% lakini ukija kwa street mambo ni tofauti sana!
Acha ukike ukike huutusipangiane sasa.
rudia koment yako ya juuAcha ukike ukike huu
Wewe na Kafulila kunatofauti?rudia koment yako ya juu
Si itakuwa ishalipwa Kutokana na Faida Rais Samia kaliingizia TaifaLazima tulipe
Wewe unafanya Biashara gani?Hii ndo akili ya biashara
Achana na mambo binafsi njoo kwenye hoja hapaTatizo la Tumbuli ni kuwaza bila teuzi hawezi kuishi, mke mwenyew ashamkimbia!
Mwanamke anayejielewa hawezi penda mwanaume mpenda miteremko (kitonga)!