Kafulila awalipua mawaziri akaunti ya Escrow

Unaushaid gani kama kaiba mkuu
au na wewe umemezeshwa na kafulila
Mkuu mmi ni tofauti sana na wengi eti sio kisa kasema yeye kafulila na mimi nikurupuke tu nianze kumshabikia lazma nianze kufanya uchunguz kwanza
Sikiliza bwana mdogo, EPA ilianza hivi hivi, mara oh pesa za EPA si za Umma. Katolewa kafara Balali. Safari hii, oh pesa za escrow si za Umma. Katolewa kafara Mgimwa. Unakumbuka rada? Mtu kakiri mwenyewe eti kawekewa dola milioni kwenye account akiziita vijisenti! Leo hii mwizi kawa mheshimiwa anatuandalia katiba mpya! Unakumbuka Kagoda ama ulikuwa hujazaliwa? Unakumbuka Meremeta/Buhemba? Mara oh miradi ya Jeshi haihojiwi! Toka lini Jeshi likafanye biashara? Unakumbuka mapanki ya samaki? Unakumbuka biashara ya silaha Congo? Unakumbuka balaa ya Bulyankulu? Wananchi wanafukiwa mgodini, je nani aliwajibishwa?

Aah nilitaka kusahau, unakumbuka REDCO au tuseme Richmond/Richmonduli? Unakumbuka Dr. Mwakyembe alivyoisetiri serikali? Kwa sasa ni Waziri baada ya kuonjeshwa machungu ya kaburi! Unakumbuka ya Mererani? Aliyekuwa balozi wetu Afrika Kusini akikokota trela ya makaburu kuja kuchuma kwenye shamba la bibi? Je unayo habari za Nyabirama na Nyabigena huko Tarime? Wananchi na wanyama wakiathirika na maji ya sumu? Je ya Tulawaka na ya Geita? Vipi ya falme za kiarabu kuivamia Loliondo na kupakia wanyama wetu hai usiku wa manane? And the list goes on and on...! Wakati haya yote yakitendeka na mabilioni yakiliwa na mafisadi, wewe mimi kuruta, uliyejiunga na JF juzi na huyo massange wako, mnaleta upuuzi wenu humu kutetea msivyovijua, mkome...rudini huko huko pangoni mlikotoka.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kesi za EPA mpaka Leo mwaka wa 800 watuhumiwa wengi hawajafungwa ! Hata wale waliofungwa akina Maranda wamehonga sana sasa ni Kama yupo Free anaishi Hosptal tu na kujidai kuumwa huku akipelekewa michepuko Kama yupo Gheto vile! na sasa yupo na Waganga wa kienyeji wanahaha aachiwe huru, mda si mrefu maranda atakuwa Huru , Kesi za pesa ndefu hapa Tanzania zinaweza kukaa mahakamani hata Miaka 1000 , wanaotaka Tume iundwe nao wanabuni Mladi wa kujipatia pesa za posho Pia pesa za Rushwa toka kwa watuhumiwa , kafulila na Zito walikosa Mgao wao, sasa wanekomaa ili wapate kupozwa, baada ya ile pesa waliyopewa ili wapaze sauti kumalizika ,akina Mdee nao wamegundua Hilo ni Dili sasa wanakuja mbio kusaka kupoozwa, hii ni Bongo kila kitu kinawezekana .
 
HIvi kwanini viongozi wakumbwa wa serikali wany'any'anie swala hili lichunguzwe na takukuru pamoja na CAG kwanini hawataki iundwe kamati maalumya bunge kuchunguza kisanga hichi kuna nini hapa wanachoficha..wakti cc wote ni mashaidi ya kuwa Takukuru huwa c wa kweli kwenye ripoti zao mf..kashfa ya Richmond,Epa na nk na pia upo zipo ripoti kadhaa za uchunguzi zilizotupwa kwenye droo za ofcn serikrini bila ya wananchi kujua ukweli....!!!
Kuunda Tume, kamati na Uchunguzi ni kutengeneza Ulaji mwingine,na mazingira ya Rushwa Maana wajumbe wataitumia Kama fursa kujinufaisha mwisho wa siku, Tume nyingi ziliundwa lakini majibu mpaka Leo ni kizungu mkuti
 
Usitumie akili za kuazima kujadili jambo na watu wenye fikra huru kama mimi.
Jibu hoja kwa hoja bila kuangalia nani kasema nini. Akili ndogo au za kuazima ndizo zinazojadili watu.
Hata hivyo unaweza kumpongeza mtu au kumuunga mkono kwa hoja yake.
Utumwa wa fikra ni mbaya zaidi kuliko ule wa kutumia nguvu!
Kwa nini tugombane kwa ajili ya mafisadi? Ndugu yangu amka, jenga hoja unielimishe mimi na wengine kama wewe siyo mhusika katika huo ufisadi au mbwa wa hao mafisadi!

Hivi ndugu umelifuatilia kweli na kwausahihi suala hili la iptl na escrow?kama ungelifuatilia bila shaka ungekaa pembeni mwenyewe wala usingeumiza kichwa chako kumuunga mkono kafulila wenu huyo,kinachofanyika ndugu ni hao watu wahovu na mafisadi kumtumia kafulila kwa malipo maalum ili kuichafua wizara ya nishati na madini pamoja na watendaji wake hasa proff.muhongo na katibu wake ili wawachafue kabisa watu hao kwasababu tu wamezuia na kuziba mihanya yote ya kifisadi ndani ya wizara hiyo,na watu hao ni rostam,mkono,mengi ndio wanamfadhili huyo kafulila.kwahiyo kazi kwako sasa,akili kumkichwa,mwenzio kafulila anatengeneza hela,wewe je?
 
Sikiliza bwana mdogo, EPA ilianza hivi hivi, mara oh pesa za EPA si za Umma. Katolewa kafara Balali. Safari hii, oh pesa za escrow si za Umma. Katolewa kafara Mgimwa. Unakumbuka rada? Mtu kakiri mwenyewe eti kawekewa dola milioni kwenye account akiziita vijisenti! Leo hii mwizi kawa mheshimiwa anatuandalia katiba mpya! Unakumbuka Kagoda ama ulikuwa hujazaliwa? Unakumbuka Meremeta/Buhemba? Mara oh miradi ya Jeshi haihojiwi! Toka lini Jeshi likafanye biashara? Unakumbuka mapanki ya samaki? Unakumbuka biashara ya silaha Congo? Unakumbuka balaa ya Bulyankulu? Wananchi wanafukiwa mgodini, je nani aliwajibishwa?

Aah nilitaka kusahau, unakumbuka REDCO au tuseme Richmond/Richmonduli? Unakumbuka Dr. Mwakyembe alivyoisetiri serikali? Kwa sasa ni Waziri baada ya kuonjeshwa machungu ya kaburi! Unakumbuka ya Mererani? Aliyekuwa balozi wetu Afrika Kusini akikokota trela ya makaburu kuja kuchuma kwenye shamba la bibi? Je unayo habari za Nyabirama na Nyabigena huko Tarime? Wananchi na wanyama wakiathirika na maji ya sumu? Je ya Tulawaka na ya Geita? Vipi ya falme za kiarabu kuivamia Loliondo na kupakia wanyama wetu hai usiku wa manane? And the list goes on and on...! Wakati haya yote yakitendeka na mabilioni yakiliwa na mafisadi, wewe mimi kuruta, uliyejiunga na JF juzi na huyo massange wako, mnaleta upuuzi wenu humu kutetea msivyovijua, mkome...rudini huko huko pangoni mlikotoka.

ndugu vipi tena tumekuja kutishana humu au?mpuuzi ni wewe husiejua kitu,unatetea vitu ambavyo huvijui na sidhani kama umesoma japo kidogo historia ya IPTL NA ESCROW ilivyotokea,ungejua wala usingekuja kubishana humu,otherwise uwe umetuma labda na hupo kwaajili ya kuchumia tumbo.pole sana kijana ni bora utumwa wa kujituma kuliko utumwa wa kutumiwa.
 
Kesi za EPA mpaka Leo mwaka wa 800 watuhumiwa wengi hawajafungwa ! Hata wale waliofungwa akina Maranda wamehonga sana sasa ni Kama yupo Free anaishi Hosptal tu na kujidai kuumwa huku akipelekewa michepuko Kama yupo Gheto vile! na sasa yupo na Waganga wa kienyeji wanahaha aachiwe huru, mda si mrefu maranda atakuwa Huru , Kesi za pesa ndefu hapa Tanzania zinaweza kukaa mahakamani hata Miaka 1000 , wanaotaka Tume iundwe nao wanabuni Mladi wa kujipatia pesa za posho Pia pesa za Rushwa toka kwa watuhumiwa , kafulila na Zito walikosa Mgao wao, sasa wanekomaa ili wapate kupozwa, baada ya ile pesa waliyopewa ili wapaze sauti kumalizika ,akina Mdee nao wamegundua Hilo ni Dili sasa wanakuja mbio kusaka kupoozwa, hii ni Bongo kila kitu kinawezekana .

Hatari sana,watu wamenyimwa mihanya ya kupata hela kupitia wizara hakuna,sasa kinachofanyika ni kuichafua wizara na watu wake.
 
Ahsante sana Mkuu Mag3 kuna juhudi kubwa sna zinazofanywa ama na mtu yule yule mwenye IDs kibao kuingia hapa ili kuvuruga ushahidi wa wizi huo wa bilioni 200 au kuna watu wengi wenye IDs zaidi ya sita ambao wamepewa kazi maalum ya kuingia hapa kwa siku nzima ili kuvuruga ushahidi. Ripoti ya CAG ndiyo hivyo tena fisadi Rugemarila kishagawa bulungutu zaidi kwa wahusika ndani ya Serikali sasa kilichobaki ni juhudi kubwa ili wizi huu unyamazishwe katika vyombo vya habari mbali mbali nchini ikiwemo mitandaoni.

Sikiliza bwana mdogo, EPA ilianza hivi hivi, mara oh pesa za EPA si za Umma. Katolewa kafara Balali. Safari hii, oh pesa za escrow si za Umma. Katolewa kafara Mgimwa. Unakumbuka rada? Mtu kakiri mwenyewe eti kawekewa dola milioni kwenye account akiziita vijisenti! Leo hii mwizi kawa mheshimiwa anatuandalia katiba mpya! Unakumbuka Kagoda ama ulikuwa hujazaliwa? Unakumbuka Meremeta/Buhemba? Mara oh miradi ya Jeshi haihojiwi! Toka lini Jeshi likafanye biashara? Unakumbuka mapanki ya samaki? Unakumbuka biashara ya silaha Congo? Unakumbuka balaa ya Bulyankulu? Wananchi wanafukiwa mgodini, je nani aliwajibishwa?

Aah nilitaka kusahau, unakumbuka REDCO au tuseme Richmond/Richmonduli? Unakumbuka Dr. Mwakyembe alivyoisetiri serikali? Kwa sasa ni Waziri baada ya kuonjeshwa machungu ya kaburi! Unakumbuka ya Mererani? Aliyekuwa balozi wetu Afrika Kusini akikokota trela ya makaburu kuja kuchuma kwenye shamba la bibi? Je unayo habari za Nyabirama na Nyabigena huko Tarime? Wananchi na wanyama wakiathirika na maji ya sumu? Je ya Tulawaka na ya Geita? Vipi ya falme za kiarabu kuivamia Loliondo na kupakia wanyama wetu hai usiku wa manane? And the list goes on and on...! Wakati haya yote yakitendeka na mabilioni yakiliwa na mafisadi, wewe mimi kuruta, uliyejiunga na JF juzi na huyo massange wako, mnaleta upuuzi wenu humu kutetea msivyovijua, mkome...rudini huko huko pangoni mlikotoka.
 
Last edited by a moderator:
Mradi wa IPTL umekuwa ni janga kwa taifa toka tuutie saini.....hakuna aliyewajibishwa ni jambo la kawaida hapa bongo. Kinachoendelea sasa hivi ni exit strategy hivyo kuna waliokula na waliokosa wanapiga kelele.....iko siku tutaelewa ukwel halisi
 
Ahsante sana Mkuu Mag3 kuna juhudi kubwa sna zinazofanywa ama na mtu yule yule mwenye IDs kibao kuingia hapa ili kuvuruga ushahidi wa wizi huo wa bilioni 200 au kuna watu wengi wenye IDs zaidi ya sita ambao wamepewa kazi maalum ya kuingia hapa kwa siku nzima ili kuvuruga ushahidi. Ripoti ya CAG ndiyo hivyo tena fisadi Rugemarila kishagawa bulungutu zaidi kwa wahusika ndani ya Serikali sasa kilichobaki ni juhudi kubwa ili wizi huu unyamazishwe katika vyombo vya habari mbali mbali nchini ikiwemo mitandaoni.


Hili suala wala haliitaji kupanic,jambo la msingi ni kulielewa vizuri kiundani,kujua nini kiko nyuma yake
 
Last edited by a moderator:
Bi kizee, afadhali umekuja....hebu taumbie UKWELI wa hili sakata au nawe umetumwa kutetea WEZI?

Kwa mtu mwenye mawazo finyu kama wewe hata ukielezwa ukweli huwezi kuuona, fikra zako zimeshagubikwa na ujinga wa kuwa kila afanyae biashara kubwa kubwa ni mwizi tu. Huo ni muono finyu na wa watu wasio na maendeleo.

Hakuna wizi katika sakata la IPTL, hapo kuna wapiga kelele za kijinga ambao wanajuwa kuwa wakipiga kelele watanyamazishwa, Mfano Kafulila.
 
account. Hizi files zinatuonesha waziwazi kwamba KAFULILA alikuwa anatumika kwa kubadilisha maneno kiujanja ujanja na kupotosha ukweli kwamba pesa hizi hazistahili kulipwa kwa IPTL

View attachment 189476

kwakutumia Pdf no. 9 yenye kichwa cha habari:

View attachment 189490

Tunagundua kwamba kulikuwepo na makubaliano ya IPTL kulipwa fedha zilizopo kwenye account ya escrow. Lakini vikao vilifanywa kudiscuss masuala muhimu kama kodi, capacity charges na mengineyo:

View attachment 189497

Lakini tunaona tena upotoshaji uliokuwa ukifanywa na KAFULILA na timu yake hapa chini:

View attachment 189498

Huu ni upotoshaji, mfano kama argument inasema huyu provisional liquidator anaiachia majukumu yote PAP/IPTL ukijumlisha na mitambo, navilevile PAP anajicommite kubeba deni lote la IPTL je kwanini asichukue fedha ya ESCROW??? KWAHIYO TUNAMRUHUSU PAP ABEBE MADENI YA IPTL NA SIYO HAKI NYINGINE ZA IPTL KAMA FEDHA ZA ESCROW????
View attachment 189499
Naikumbukwe kwamba wakati fedha ya ESCROW inalipwa tiyari kulikuwa na muafaka wa kupunguza capacity charge:

View attachment 189501

Jaribu nawewe sasa kutafakari alafu tuulizane!


View attachment 189502
Kwahiyo tusimpe sasa PAP hela ya IPTL iliyopo kwenye ESCROW account?? KAFULILA anajitoa ufahamu nakujifanya hajui kuhusu ESCROW AGREEMENT!!!
Tukumbuke pia hukumu ya Jaji UTAMWA ilibase kwenye Dispute baina ya wabia wa IPTL, Na hukumu ya ICSD ilishatolewa kwa kuzitaka pande zote mbili kukaa na kukokotoa upya mahesabu na pande zote zilikaa na kufanya hivyo, soma kidokezo hapo juu.

http://www.taifaimara.co.tz/?p=410
 
Sijui Mbunge Zitto Kabwe alicomment nini wakati anapost hizi files kwenye facebook account yake, lakini kama dhamira yake ilikuwa kutaka kutuendelezea ule mchezo mchafu basi kwenye hili mimi binafsi na mpuuza nakumwona kama kibaraka wa mabeberu, sababu ya kusema hivi ni moja kwakumbukumbu inaonyesha pia ushiriki wa ZITTO kwenye kuwapotosha wananchi huku akitumia karata yake ya imani ambayo wananchi wanayo juu yake.
Hili sakata la IPTL kabla kina ZITTO na KAFULILA kulidakia,ilikuwa nikampeni ya mabeberu kuilazimisha serikali kuwapa dili ya kuuza umeme kupitia kampuni yao ya SONGAS. Hawakulidhishwa na serikali kutoa dili kwa nchi ya malaysia, mwendelezo wa hili sakata ulipamba moto baada ya watu wenye interest tofauti kudakia na kuanza kuishambulia serikali kuwa kuna ufisadi kwenye mradi wa IPTL,lakini ikumbukwe kuwa hivi nilini mabeberu walifanya kitu kwamaslahi ya nchi maskini na ndio maana Tanzania kwa mara ya kwanza tulipotaka kampuni binafsi ya kwaajiri ya kuzalisha umeme suruhisho letu kama nchi lilikuwa Malaysia kupitia South-south Commision.
Mabeberu kupitia BRIAN COOKSEY walianza kutuandama kwa lugha chafu sababu tu IPTL imeiside line SONGAS:

View attachment 189515

Malalamiko yanayotengenezwa na BRIAN COOKSEY yanabase kwenye kutaka kuimbua serikali kuwahaikufanya uamuzi mzuri ilipokubari kuipadili IPTL. Lakini je dili ya SONGAS ingekuwa na tofauti kweli naingelinda maslahi ya wazalendo kweli?? nimataifa mangapi ya kibeperi yamewekeza kwenye sekta kubwakubwa lakini bado wazalendo tunalia na mikataba yao??

View attachment 189516

Lakini tunaona sasa kwamba pamoja na ubungo gas turbines kufanya kazi bado tunawahitaji IPTL,na BRIAN COOKSEY yupo kimya kabisa toka atoe chapisho lake, hii yote nisababu anajua mabeberu wamepata walichokuwa wanahitaji SONGAS kuwa operational.
Lakini IPTL waliliona hizi hila za BRIAN COOKSEY:

In a long letter to the African (1 June 1998) titled ‘Brian's phobia against South-South Commission', I am dubbed a racist with a ‘pathological hatred of South-South cooperation', with ‘derogatory tendencies towards African governments, leaders and its people.' In a letter to Minister of Planning, Nassoro Malocho, IPTL copied an article that appeared in East African Alternatives, and accuse me of having vested interests in Songas. I am referred to as a ‘dangerous underground advisor,' ‘an academic and business crook,' with ‘prejudices against African and Asian leaders'.

Kilichofuata wote tunajua, waandishi waudaku wakina MIHANGWA wakatafsiri maandishi ya udaku ya BRIAN nakuyasambaza. Nasasa tunamuona ZITTO na KAFULILA wakiyabeba maneno yaleyale na kuyasambaza kwa umma, mfano ZITTO anarudiarudia sana kusema "Wapinzani, vyombo vya habari na civil society vimelikalia kimya sakata hili" nikitu kilekile alichokindika BRIAN kwenye udaku wake:

""View attachment 189517

Watanzania wenzangu hapa tunachokiona ni mchuano mkali wa kibiashara ambao ndani yake mafisadi wakubwa wa taifa hili wamenunua kesi aliyoiacha BRIAN kibaraka wa mabeberu, na sasa ndugu zetu wenyewe wakina MKONO, MENGI na ROSTAM wanatugawanya kwa maslahi yao wakimtumia mbunge wa KIGOMA KUSINI, DAVID KAFULILA.
Upotoshaji unaofanywa na KAFULILA niwawazi kabisa, niwamakusudi kwa maslahi yake binafsi na ndio maana Katibu Mkuu wa NISHATI ndugu MASWI alisema tena hadharani kuwa KAFULILA na ZITTO wanatumika na wamepewa fedha na MKONO. Sababu nyingine za kutengeneza skendo ya IPTL;
(i) Nikukweli uliowazi hawa wabunge huu nimchezo wao wa siku nyingi kuanda zengwe ambalo mwisho wasiku wanafaidika nalo kwa kupozwa nawahusika, hii nimichezo inachezwa nakamati nyingi za bunge.
(ii) Masakata makubwa kama haya husaidia kuwapa kick wanasiasa tunakumbuka sakata la EPA na RICHMOND. ZITTO na mabilioni ya uswis

Watanzania tusikubali kuwa madaraja yawatu binafsi kujipatia umaarufu wakisiasa na kujiongezea ukwasi walionao.

View attachment 189518
 
Kwa mtu mwenye mawazo finyu kama wewe hata ukielezwa ukweli huwezi kuuona, fikra zako zimeshagubikwa na ujinga wa kuwa kila afanyae biashara kubwa kubwa ni mwizi tu. Huo ni muono finyu na wa watu wasio na maendeleo.

Hakuna wizi katika sakata la IPTL, hapo kuna wapiga kelele za kijinga ambao wanajuwa kuwa wakipiga kelele watanyamazishwa, Mfano Kafulila.

Thanj you dada Faiza!!
Utoaji fedha kwenye account ya ESCROW ulifuata utaratibu uliopitia vikao halali katika ngazi mbalimbali. Nakwamba hakuna taratibu zilizopindishwa humo. Halafu nakuuliza swali wakuu " KAMA PAP/IPTL WALIPEWA MITAMBO YA IPTL PAMOJA NAKUBEBA MZIGO WA DENI LA IPTL KUTOKA KWA LIQUIDATOR JE KWANINI IPTL/PAP WASIWE NAHAKI YA KUCHUKUA FEDHA ZA ESCROW ACCOUNT???? lakuzingatia kesi ya ICSD imekwisha na TANESCO na IPTL wamekubaliana juu ya viwango vipya vya capacity charge. JE MLITAKA FEDHA HIZO ZICHUKULIWE NANANI??? lakuzingatia umeme wa IPTL tumetumia bila malipo husika.
 
Thanj you dada Faiza!!
Utoaji fedha kwenye account ya ESCROW ulifuata utaratibu uliopitia vikao halali katika ngazi mbalimbali. Nakwamba hakuna taratibu zilizopindishwa humo. Halafu nakuuliza swali wakuu " KAMA PAP/IPTL WALIPEWA MITAMBO YA IPTL PAMOJA NAKUBEBA MZIGO WA DENI LA IPTL KUTOKA KWA LIQUIDATOR JE KWANINI IPTL/PAP WASIWE NAHAKI YA KUCHUKUA FEDHA ZA ESCROW ACCOUNT???? lakuzingatia kesi ya ICSD imekwisha na TANESCO na IPTL wamekubaliana juu ya viwango vipya vya capacity charge. JE MLITAKA FEDHA HIZO ZICHUKULIWE NANANI??? lakuzingatia umeme wa IPTL tumetumia bila malipo husika.

Kuna misukule humu JF huwa inabwabwaja na kuhororoja bila mpango, achana nao, hata ukiwaambia nje kweupe saa sita ya mchana wao watakubishia tu.
 
kafulila.gif

By Athuman Mtulya ,The Citizen Reporter

Posted Wednesday, September 17 2014 at 09:22
In Summary
Mr Utouh confirmed that he would not be in a position to complete the probe before his scheduled retirement but gave an assurance that the investigation was virtually complete.

Dar es Salaam. Kigoma South MP David Kafulila (NCCR-Mageuzi) wants Controller and Auditor General (CAG) Ludovick Utouh to hand over to Parliament the probe report on the Sh201 billion ($122 million) IPTL escrow account scandal before he retires.

Mr Kafulila, who blew the whistle in Parliament on the controversial withdrawal of billions of shillings from the Bank of Tanzania (BoT) to facilitate the questionable IPTL sale to Pan African Power Solutions Ltd (PAP), told a press conference in Dar es Salaam that he feared the outcome of a two-pronged investigation into the scandal could be compromised.

The opposition MP said the timing of Mr Utouh's exit on Friday before he publicly releases his investigation findings could signal behind-the-scenes manoeuvres to compromise the outcome of the probe.


Mr Utouh is leaving after two full constitutional terms as CAG. It remains unclear when his findings on the scandal, which the Parliamentary Accounts Committee (PAC) ordered in March, will land in the August House. Parliament resumes sittings in October at the conclusion of the Constituent Assembly.

Mr Utouh confirmed that he would not be in a position to complete the probe before his scheduled retirement but gave an assurance that the investigation was virtually complete. "We have carried out the job to a satisfactory level," he added, in an exclusive interview with The Citizen. "Unfortunately, I will have to hand over the remaining bit to my successor, who will complete the assignment."

The CAG said the investigation took a lot of time and involved a lot of research and interviews with people who had the relevant information in order to get to the truth. "That is why I have to let the incoming CAG carry on with what's left," said Mr Utouh. But Mr Kafulila argued that "powerful forces" implicated in the affair could be conniving to defeat justice and hide the truth about the people behind the scandal.

The manner in which the state wants to handle the matter suggests that there is more to the matter than meets the eye. Mr Utoh promised to be done with the investigation in 40 days back in March. More than 160 days later, the office has yet to hand over the report to parliament.

"The CAG is running away from his duties and that is unacceptable," said Mr Kafulila. "Yes, the office remains behind on his retirement but the change of guard at this time might be used as an excuse to water down the investigation report."

According to the NCCR-Mageuzi MP, the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) had already completed its own investigation on the matter and handed the report to the government. Prime Minister Mizengo Pinda told Parliament in March that the state had asked PCCB to intervene in the elements of crime raised by the IPTL scandal.

"This was a Parliamentary ordered investigation, why would PCCB now purport to report their findings to the government ahead of the CAG's report?" asked Mr Kafulila. The MP wants the two reports brought before the MPs to prove that there were no fishy goings-on.

PCCB Director General Edward Hosea declined to comment on the development. "I am professional," he told The Citizen. "I know my duties, therefore I cannot comment now."

All MPs and Tanzanians, regardless of their political affiliation, should unite and demand accountability from the government over the scandal, Mr Kafulila added. "All those implicated in the embezzlement or payments of public funds in this scandal, whether ministers or powerful state officials, must be brought to book." The MP further claimed the government continued to pay PAP some Sh4 billion every month in capacity charges for supplying electricity to Tanesco, contrary to best practice during such an investigation. The Citizen could not independently verify this claim from Tanesco or the ministy of energy at the time we went to press. "This new payment should not have happened until after the investigation is done, and if PAP is cleared then they receive their payments," Mr Kafulila said.

In July, the main opposition party, Chadema, asked the government to get an external auditor to probe the matter. The party said it had no confidence in the capacity of the offices of the CAG and PCCB to investigate the scandal.
 
kafulila.gif

By Athuman Mtulya ,The Citizen Reporter

Posted Wednesday, September 17 2014 at 09:22
In Summary
Mr Utouh confirmed that he would not be in a position to complete the probe before his scheduled retirement but gave an assurance that the investigation was virtually complete.

Dar es Salaam. Kigoma South MP David Kafulila (NCCR-Mageuzi) wants Controller and Auditor General (CAG) Ludovick Utouh to hand over to Parliament the probe report on the Sh201 billion ($122 million) IPTL escrow account scandal before he retires.

Mr Kafulila, who blew the whistle in Parliament on the controversial withdrawal of billions of shillings from the Bank of Tanzania (BoT) to facilitate the questionable IPTL sale to Pan African Power Solutions Ltd (PAP), told a press conference in Dar es Salaam that he feared the outcome of a two-pronged investigation into the scandal could be compromised.

The opposition MP said the timing of Mr Utouh's exit on Friday before he publicly releases his investigation findings could signal behind-the-scenes manoeuvres to compromise the outcome of the probe.


Mr Utouh is leaving after two full constitutional terms as CAG. It remains unclear when his findings on the scandal, which the Parliamentary Accounts Committee (PAC) ordered in March, will land in the August House. Parliament resumes sittings in October at the conclusion of the Constituent Assembly.

Mr Utouh confirmed that he would not be in a position to complete the probe before his scheduled retirement but gave an assurance that the investigation was virtually complete. "We have carried out the job to a satisfactory level," he added, in an exclusive interview with The Citizen. "Unfortunately, I will have to hand over the remaining bit to my successor, who will complete the assignment."

The CAG said the investigation took a lot of time and involved a lot of research and interviews with people who had the relevant information in order to get to the truth. "That is why I have to let the incoming CAG carry on with what's left," said Mr Utouh. But Mr Kafulila argued that "powerful forces" implicated in the affair could be conniving to defeat justice and hide the truth about the people behind the scandal.

The manner in which the state wants to handle the matter suggests that there is more to the matter than meets the eye. Mr Utoh promised to be done with the investigation in 40 days back in March. More than 160 days later, the office has yet to hand over the report to parliament.

"The CAG is running away from his duties and that is unacceptable," said Mr Kafulila. "Yes, the office remains behind on his retirement but the change of guard at this time might be used as an excuse to water down the investigation report."

According to the NCCR-Mageuzi MP, the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) had already completed its own investigation on the matter and handed the report to the government. Prime Minister Mizengo Pinda told Parliament in March that the state had asked PCCB to intervene in the elements of crime raised by the IPTL scandal.

"This was a Parliamentary ordered investigation, why would PCCB now purport to report their findings to the government ahead of the CAG's report?" asked Mr Kafulila. The MP wants the two reports brought before the MPs to prove that there were no fishy goings-on.

PCCB Director General Edward Hosea declined to comment on the development. "I am professional," he told The Citizen. "I know my duties, therefore I cannot comment now."

All MPs and Tanzanians, regardless of their political affiliation, should unite and demand accountability from the government over the scandal, Mr Kafulila added. "All those implicated in the embezzlement or payments of public funds in this scandal, whether ministers or powerful state officials, must be brought to book." The MP further claimed the government continued to pay PAP some Sh4 billion every month in capacity charges for supplying electricity to Tanesco, contrary to best practice during such an investigation. The Citizen could not independently verify this claim from Tanesco or the ministy of energy at the time we went to press. "This new payment should not have happened until after the investigation is done, and if PAP is cleared then they receive their payments," Mr Kafulila said.

In July, the main opposition party, Chadema, asked the government to get an external auditor to probe the matter. The party said it had no confidence in the capacity of the offices of the CAG and PCCB to investigate the scandal.

Nashindwa kuelewa hofu ya Kafulila inatoka wapi??? Nahapa ndio palipo ibuka ile thread

"" https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/725255-sakata-la-iptl-na-escrow-cag-anatumika-vibaya.html""

Kwanini Kafulila ang'ang'anie huyu mzee wa watu aendelee na kazi wakati muda wake wa kupumzika umefika?? Walikuwa na mpango gani mpaka Kafulila amtangazie kwa umma kwamba mzee Utouh anastaafu??
Nakwanini tunapoteza imani kwa mtu ambae anakuja kuchukua nafasi ya CAG hata kabla hatujaona utendaji wake??
Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za serikali kashasema alipozungumza na Gazeti la Rai Tar 2-8,2014 kuwa ripoti itaingia mikononi mwake wiki hiyo ya tarehe tajwa ; zitto rai.JPG

Hizi ni dalili mbaya kuwa Kafulila anataka kuyakataa matokeo ya uchunguzi kama yatakuwa hayajarinda interest zake!
Hata jana tumemkoti alivyoeleza wasiwasi wake kuwa ripoti inaweza isijadiriwe bungeni, mbona yeye tu anaye tapatapa??

""""Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila, amedai kuwapo kwa mkakati wa kuzuia ripoti ya uchunguzi wa fedha za Escrow zaidi ya Sh. bilioni 400, isijadiliwe katika mkutano ujao wa Bunge mjini Dodoma.

Kafulila ambaye pia ni Katibu Mwenezi wa NCCR-Mageuzi, alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam kuhusu mkakati wa kuulinda ufisadi wa kiasi hicho kikubwa cha fedha ambao alidai unafanywa na kampuni za ufuaji umeme na baadhi ya vigogo wa serikali.

Kwa mujibu wa Kafulila, kumekuwapo na kampeni ya kupotosha ukweli kuhusu madai ya ufisadi huo wa fedha ambao anadai unaratibiwa na baadhi ya watu waliojitoa kufahamu kutetea wizi.

"Napenda kusisitiza kwamba, fedha za Escrow Dola milioni 270 (zaidi ya Shilingi bilioni 400), zimetolewa kifisadi na ndiyo sababu kwa muda sasa kumekuwapo mkakati wa kuzuia ripotri za uchunguzi zisijadiliwe bunge lijalo," alisema Kafulila na kuongeza:

"Wito wangu kwa serikali ni kuwa endapo ripoti hii haitaletwa,Bunge lijalo halitakalika. Nitapeleka hoja ya kutokuwa na imani na serikali."

Alisema kutokana na hali hiyo, hadi sasa nchi wahisani hazijachangia bajeti kwani zinasubiri utekelezaji wa ripoti ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) pamoja na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

Kwa mujibu wa Kafulila, anao ushahidi wa nyaraka takribani 600 zinazothibirisha fedha hizo kutolewa kifisadi huku akihoji sababu za Takukuru na CAG kutotoa taarifa za uchunguzi kuhusu madai hayo.

Alisema, ripoti hiyo isipojadiliwa kwenye Bunge hilo, ataomba mahakama itoe amri kwamba mbunge asiwe mjumbe wa bodi ya mashirika ya umma na kutoa hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na Rais.

Akizungumza kwa njia ya simu na NIPASHE, Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dk. Edward Hoseah, alisema, hakuna mtu anayeweza kukwamisha kazi yao na kuwa muda wowote ripoti ikiwa tayari wanaiwasilisha.

CHANZO: NIPASHE""""

KAFULILA HUISHIWI MANENO WEWE???? MARA RIPOTI INACHEREWA, MARA INACHAKACHULIWA , MARA HAIJADIRIWI, TUKUELEE NINI MBONA KILA SIKU MALALAMIKO WEWE???????


  • kAFULILA ATUAMBIE NI SHIRINGI NGAPI SASA MAANA ANATUCHANGANYA SISI MARA BIL 200, MARA BIL 400 KIPI NI KIPI???WABUNGE WENZAKO HATA KAMBI YA UPINZANI IMESHAPIMA NA KUGUNDUA KUWA UNAPIGANIA TUMBO LAKO NASIYO MASLAHI YA TAIFA HILI NDIO MAANA WAMEKUACHA UPAMBANE MWENYEWE!
 
Nashindwa kuelewa hofu ya Kafulila inatoka wapi??? Nahapa ndio palipo ibuka ile thread "" https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/725255-sakata-la-iptl-na-escrow-cag-anatumika-vibaya.html""Kwanini Kafulila ang'ang'anie huyu mzee wa watu aendelee na kazi wakati muda wake wa kupumzika umefika?? Walikuwa na mpango gani mpaka Kafulila amtangazie kwa umma kwamba mzee Utouh anastaafu??Nakwanini tunapoteza imani kwa mtu ambae anakuja kuchukua nafasi ya CAG hata kabla hatujaona utendaji wake??Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya hesabu za serikali kashasema alipozungumza na Gazeti la Rai Tar 2-8,2014 kuwa ripoti itaingia mikononi mwake wiki hiyo ya tarehe tajwa ;View attachment 191045Hizi ni dalili mbaya kuwa Kafulila anataka kuyakataa matokeo ya uchunguzi kama yatakuwa hayajarinda interest zake!Hata jana tumemkoti alivyoeleza wasiwasi wake kuwa ripoti inaweza isijadiriwe bungeni, mbona yeye tu anaye tapatapa??
""""Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila, amedai kuwapo kwa mkakati wa kuzuia ripoti ya uchunguzi wa fedha za Escrow zaidi ya Sh. bilioni 400, isijadiliwe katika mkutano ujao wa Bunge mjini Dodoma.Kafulila ambaye pia ni Katibu Mwenezi wa NCCR-Mageuzi, alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam kuhusu mkakati wa kuulinda ufisadi wa kiasi hicho kikubwa cha fedha ambao alidai unafanywa na kampuni za ufuaji umeme na baadhi ya vigogo wa serikali.Kwa mujibu wa Kafulila, kumekuwapo na kampeni ya kupotosha ukweli kuhusu madai ya ufisadi huo wa fedha ambao anadai unaratibiwa na baadhi ya watu waliojitoa kufahamu kutetea wizi.“Napenda kusisitiza kwamba, fedha za Escrow Dola milioni 270 (zaidi ya Shilingi bilioni 400), zimetolewa kifisadi na ndiyo sababu kwa muda sasa kumekuwapo mkakati wa kuzuia ripotri za uchunguzi zisijadiliwe bunge lijalo,” alisema Kafulila na kuongeza:“Wito wangu kwa serikali ni kuwa endapo ripoti hii haitaletwa,Bunge lijalo halitakalika. Nitapeleka hoja ya kutokuwa na imani na serikali.”Alisema kutokana na hali hiyo, hadi sasa nchi wahisani hazijachangia bajeti kwani zinasubiri utekelezaji wa ripoti ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) pamoja na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).Kwa mujibu wa Kafulila, anao ushahidi wa nyaraka takribani 600 zinazothibirisha fedha hizo kutolewa kifisadi huku akihoji sababu za Takukuru na CAG kutotoa taarifa za uchunguzi kuhusu madai hayo.Alisema, ripoti hiyo isipojadiliwa kwenye Bunge hilo, ataomba mahakama itoe amri kwamba mbunge asiwe mjumbe wa bodi ya mashirika ya umma na kutoa hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu na Rais.Akizungumza kwa njia ya simu na NIPASHE, Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dk. Edward Hoseah, alisema, hakuna mtu anayeweza kukwamisha kazi yao na kuwa muda wowote ripoti ikiwa tayari wanaiwasilisha.CHANZO: NIPASHE""""KAFULILA HUISHIWI MANENO WEWE???? MARA RIPOTI INACHEREWA, MARA INACHAKACHULIWA , MARA HAIJADIRIWI, TUKUELEWE NINI MBONA KILA SIKU MALALAMIKO WEWE???????

  • kAFULILA ATUAMBIE NI SHIRINGI NGAPI SASA MAANA ANATUCHANGANYA SISI MARA BIL 200, MARA BIL 400 KIPI NI KIPI???WABUNGE WENZAKO HATA KAMBI YA UPINZANI IMESHAPIMA NA KUGUNDUA KUWA UNAPIGANIA TUMBO LAKO NASIYO MASLAHI YA TAIFA HILI NDIO MAANA WAMEKUACHA UPAMBANE MWENYEWE!

Mnapata tabu nyie mnao taka kumwelewa!! Mimwezenu siku nyingi nilishagundua kuwa KAFULILA siyo mzima wa akili.
 
Kafulila siyo mzima wa akili na bado aliyoyasema yamesababisha Serikali kuifunga bank account ya mwizi Rugemarila! Atakuwa ni mwendawazimu wa calibre ya juu sana mpaka yale ayasemayo Serikali hii iliyojaa mafisadi iyafanyie kazi!

Dar firm account seized in Holland

By The Citizen Reporter

Posted Saturday, September 13 2014 at 07:41In Summary

•The Mkombozi account belongs to VIP Engineering and Marketing--the company that owned 30 per cent shares in Independent Power Tanzania Limited


Dar es Salaam. The government has frozen an account in a bank in The Netherlands that is linked with the $65 million (approximately Sh129 million) that was controversially taken from an escrow account at the Bank of Tanzania and paid to a private entity last year.

The Citizen on Saturday has reliably learnt that a substantial amount of money was transferred from an account at the Catholic Church-owned Mkombozi Bank to the bank in the Netherlands. The Mkombozi account belongs to VIP Engineering and Marketing--the company that owned 30 per cent shares in Independent Power Tanzania Limited (IPTL) until it allegedly sold its shares to Pan African Power Solutions Tanzania Limited (PAP) for $65 million.

VIP Engineering and Marketing is owned by James Rugemalila.

The controversial sale of IPTL to PAP has been heavily criticised from within and outside the country, prompting Parliament to ask the Controller and Auditor General (CAG) to investigate how the money was transferred from BoT's escrow account to PAP. The Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) is also conducting a parallel investigation into the matter.


The Citizen on Saturday established that billions of shillings were transferred from VIP's account to a bank in Holland. Tanzanian investigators managed to trace the account and worked with their counterparts overseas to freeze it pending further investigations.


PCCB Director-General Edward Hosea declined to comment on the development yesterday. "The law bars me from releasing information on investigations I conduct," he said. "It is ethically and professionally unwise to comment on a matter under investigation at this point, so my answer is no comment."

The Citizen on Saturday understands that PCCB called up all records of transactions from VIP's account as it sought to establish the purpose of the transaction and transfers.

Besides discovering that huge sums of money had been transferred from the account to several others at the same bank, the investigators raised the red flag over the millions of dollars transferred from the bank to an overseas account.

Under international banking practice, an account may be frozen by government or regulatory authorities if they suspect criminal activity and civil action or liens filed against the account.

As the nation awaits the findings of the CAG and the PCCB, emerging reports have it that the investigations have established that some influential Tanzanians--including cabinet ministers, a permanent secretary and MPs--were paid substantial amounts of money from VIP's at Mkombozi.

An impeccable source told The Citizen on Saturday that the PCCB has established that taking the money from BoT was "outright theft" facilitated by corruption. Top officials in the BoT, the Attorney General's Chambers and the energy ministry appear to have been implicated. "The CAG has concluded that the release of money from the escrow account was a grossly irregular move based on fraud," said the source.

The CAG has recommended that all the officials be charged in court and the money taken from the escrow account returned.


Dr Hosea is also ready to prosecute those who received the Rugemalila money from Mkombozi.


The IPTL saga resurfaced in March this year after Prime Minister Mizengo Pinda ordered the CAG and PCCB to carry out a parallel investigation into the deal. The work of the two agencies centred on the release of the escrow money and the entire process that led to the takeover of IPTL by PAP.

BoT Governor Benno Ndulu recently announced having transferred the funds to the PAP account between November 28 and December 8, last year. The transfer raised eyebrows and Parliament's Public Accounts Committee ordered the CAG's office and the PCCB to establish the truth.

The probe is expected to unmask the questionable sale of IPTL to a new foreign owner and also open leads into how Sh201 billion ($122 million) in escrow funds were transferred to pay for the deal.

The Citizen on Saturday has exclusively reported how PAP came into play in the deal-making IPTL power supply story. PAC Chairperson Zitto Kabwe is on record saying that his committee was concerned that the deal could lead to Tanesco paying Sh200 billion to PAP, which reportedly bought IPTL at $65 million.

The CAG's investigation sought to establish how the $122 million (Sh201 billion) was transferred from the BoT escrow account to PAP.


Mnapata tabu nyie mnao taka kumwelewa!! Mimwezenu siku nyingi nilishagundua kuwa KAFULILA siyo mzima wa akili.
 
unajua hatuitaji siasa uchwara nchini kwetu,ni lazima tuweke mipaka ya nini mwanasiasa anaongea sio kumwacha aropoke
 
Back
Top Bottom