Cyprian shayo
Member
- Sep 25, 2011
- 17
- 0
kafulila amejipanga kukusanya maoni kutoka kwa wafuas wake juu ya kuanzisha chama kipya kiitwacho haki ya mnyonge mageuzi daima
umeitoa wapi hii story? Hatujadili umbea mkuu
hIYO hOJA NZITO IKO WAPI?...kafulila amejipanga kukusanya maoni kutoka kwa wafuas wake juu ya kuanzisha chama kipya kiitwacho haki ya mnyonge mageuzi daima
Kama hii habari ni kweli muda si mrefu tutakuwa kama DRC. Kila mtu na Chama chake.