Nipo ziarani mkoani Mbeya wilaya ya Busokelo jimboni kwa John Mark Mwandosya kijiji kimoja kinaitwa Mbambo nimekutakana na makamanda wanatoa kadi za chama bure na mwitikio wake uko chini mno ni mmojammoja nilipojaribu kupekua zaidi. Nilikutaka na vijana wanacheza pool wanakwambia sisi tunaipenda CCM, nilipojaribu kudodosa kwanini nilijibiwa wameleta mfereji wa maji, umeme na shule nilipojaribu kuonekana tofauti niliambiwa sisi hatutaki vita, nilipojaribu kuuliza zaidi nimeambiwa viongozi wote wezi bora tubaki hvhv hapo ndio nikajua jeuri ya magamba