KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
- Thread starter
- #41
Jamani hivi sasa ukiingia kwenye private message compose mbona siioni? Natumaje PM? Naona reply and forward tu.
Hebu nipatie email yako basi nikutumie namba yangu tuonane jamani.
Mi ni mwanachama wa CHADEMA, najua we ni wa CCM mwenzangu, nitakuuliza vizuri masuala ya ufisadi?
Hivi kwanini kamati kuu ya CCM imejaa watuhumiwa wa ufisadi na wengine wapo kwenye orodha ya fisadi?
Hivi JK butiama ataongoza vipi kikao wakati naye yumo kwenye JK eleven? Hapatakuwa na confict of interest?
Asha
unaijua kamati kuu ya ccm ? wataje hao unaosema wapo humo.. nitumie kadampinzani@gmail.com.... utakuja kuhadithia humu !