Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Wana JF heshima zenu wakuu .
Leo baada ya kuona Ngeleja kaanza kutoa matamko ya kugawa Umeme Mbeya vijijini huku akijua kwamba kuna moto waja nimekumbuka juu ya Jimbo la Ndugu Pharacy Kabuye .Sijui nimepatia jina lake ama la lakini bado najiuliza kwa nini hadi leo NEC hawajaitisha uchaguzi ? Kuna shida gani na wanakwama wapi ? Maana najua hakuna rufaa iliyo katwa baada ya kutenguliwa .Je tunaweza kuona uchaguzi wa Mbeya vijijini haraka kuliko kule kwa Kabuye ? Naombeni mtizamo wenu wakuu .
Leo baada ya kuona Ngeleja kaanza kutoa matamko ya kugawa Umeme Mbeya vijijini huku akijua kwamba kuna moto waja nimekumbuka juu ya Jimbo la Ndugu Pharacy Kabuye .Sijui nimepatia jina lake ama la lakini bado najiuliza kwa nini hadi leo NEC hawajaitisha uchaguzi ? Kuna shida gani na wanakwama wapi ? Maana najua hakuna rufaa iliyo katwa baada ya kutenguliwa .Je tunaweza kuona uchaguzi wa Mbeya vijijini haraka kuliko kule kwa Kabuye ? Naombeni mtizamo wenu wakuu .