tajirisana
Member
- Sep 29, 2010
- 83
- 22
hongera kwa ushauri kwa vijana, mimi pia nawaambia waje shamba walime kwa miezi mitatu wanawezapata zaidi ya miezi6 mshahara ambao angetarajia kulipwa akiajiriwa
Hii makala yako ushaipeleka Mwananchi au magazeti mengine ya hapa Tz?
Hii makala yako ushaipeleka Mwananchi au magazeti mengine ya hapa Tz?
inabidi iwafikie vijana wengi zaidi
Hii makala yako ushaipeleka Mwananchi au magazeti mengine ya hapa Tz?
miafrika ndo tulivyo,hiyo mijamaa haitaki kukubali au inaona wivu kuwa umeizidi uwezo wa kufikiri na kupangilia mawazo....! gud stuff,man...keep it upnaomba uniwekee link ama hilo andiko unalosema nimetafsiri, na nitaifuta hii mara moja. Ukishindwa kufanya hivyo nitake tu radhi kiungwana kwa kuteleza ama kuropoka pasi na kufanya utafiti. Ukishindwa yote kaa kimya tu na werevu watajua haupo makini. Asante na karibu sana mkuu.
miafrika ndo tulivyo,hiyo mijamaa haitaki kukubali au inaona wivu kuwa umeizidi uwezo wa kufikiri na kupangilia mawazo....! gud stuff,man...keep it up