muulize Yo Yo kuhusu nchini kwao,Tanzania hatuna makabila tuna watanzania
wakwere
research ya kupotezeana mda tuu..ndo umekaa ukafikiria ivooo
Baada ya kufanya karesearch kangu kadogo bado cjapata uhakika kamili kuwa kabila gan linaongoza kuwa Facebook,
naomba niskie maoni yako!
yani karne hii bado unazungumzia ukabila,acha hizo wewe.
yani karne hii bado unazungumzia ukabila,acha hizo wewe.
naja jinsia yako kwanza ndi o uulize kabila langu sio kila jinsia ina haki ya kuniuliza hili swali, only beijingweye kabila gani?