kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,368
Kabila alifanya makosa mengi ndani ya nchi yetu nillimsamehe lakini ili la kuwaachia Wakasai (Waluba) madaraka siwezi kumsamehe kabisa. Najua alifanya yote haya kwa lengo la kukomoa Moise Katumbi aliye kuwa na nafasi kubwa ya kuwa Rais wa Kongo. Basi angetafuta makabila mengine na kuwaachia madaraka sio hawa Waluba.
Kwanini hakutaka kujifunza hata kwenye historia ya nchi yetu kama Kongo kuna makabila ambayo yanafukuzwa katika mikoa mingine Kongo ni wakasai na wanyamulenge kwasababu ya tabia yao ya kutaka kumiki wao tu hata kitu sio cha kwao wakifika wao wanataka wawe wao tu
1960 walifukuzwa Katanga
1992 walifukuzwa Katanga
2020 walifukuzwa sud Kivu
Sijui 2019 walifukuzwa Équateur
Leo tunachaguliwa ukiwa upande wa ndugu yao Felix Tshisekedi unakuwa mkongo
Ukiwa upande wa upinzani wewe ni mgeni sio mtoto wa nchi
Vital Khameri wao ndo walimtangazia kwa wakongo kuwa ni Mrundi sio Mkongo wakamchafua
Kachaguliwa na ndugu yao wameenda kumpokea na shangwe lote sijui kama ndo amegeuka mkongo kwasasa
Wao ndo walimtangazia kuwa kabila sio mkongo ni mnyarwanda
Wao ndo wanamtangazia Katumbi ni Mzambia
Wao ndo wanamtangazia Membe sio Kongo ni mTanzania
Yaani ni shida
Kabila alikosea saana Kongo
Na ninajua kwanini alifanya hivi baada ya Felix kutangaza tu kuwa akimaliza miaka yake anapenda Kongo tuongozwe na mwanamke tayari na jua ni nani huyo
Hii familia inapenda madaraka saana
Kwanini hakutaka kujifunza hata kwenye historia ya nchi yetu kama Kongo kuna makabila ambayo yanafukuzwa katika mikoa mingine Kongo ni wakasai na wanyamulenge kwasababu ya tabia yao ya kutaka kumiki wao tu hata kitu sio cha kwao wakifika wao wanataka wawe wao tu
1960 walifukuzwa Katanga
1992 walifukuzwa Katanga
2020 walifukuzwa sud Kivu
Sijui 2019 walifukuzwa Équateur
Leo tunachaguliwa ukiwa upande wa ndugu yao Felix Tshisekedi unakuwa mkongo
Ukiwa upande wa upinzani wewe ni mgeni sio mtoto wa nchi
Vital Khameri wao ndo walimtangazia kwa wakongo kuwa ni Mrundi sio Mkongo wakamchafua
Kachaguliwa na ndugu yao wameenda kumpokea na shangwe lote sijui kama ndo amegeuka mkongo kwasasa
Wao ndo walimtangazia kuwa kabila sio mkongo ni mnyarwanda
Wao ndo wanamtangazia Katumbi ni Mzambia
Wao ndo wanamtangazia Membe sio Kongo ni mTanzania
Yaani ni shida
Kabila alikosea saana Kongo
Na ninajua kwanini alifanya hivi baada ya Felix kutangaza tu kuwa akimaliza miaka yake anapenda Kongo tuongozwe na mwanamke tayari na jua ni nani huyo
Hii familia inapenda madaraka saana