Nasema Hivi kwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la wananchi Jenerali Abdulrahman Shimbo kuwa kama watawala wa kiraia kama wanataka kutawala kwa mabavu ni afadhali wakabidhi utawala kwa jeshi lililojifunza ubabe!
hivi shimbo ana elimu ya kiwango gani. utakuta mnabishana na mtu wa darasa la nne aliyepanda vyeo kwa kujuana juana tu, asiye weza hata kuanalyse yanayomtoka mdomoni mwake
Nasema Hivi kwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la wananchi Jenerali Abdulrahman Shimbo kuwa kama watawala wa kiraia kama wanataka kutawala kwa mabavu ni afadhali wakabidhi utawala kwa jeshi lililojifunza ubabe!
Nchi inatawaliwa na serikali ya CCM. Mwenyekiti wa CCM ni Kanali Jakaya Kikwete, Katibu Mkuu ni Luteni Yusuph Makamba, Katibu sijui mwenezi ni Kapteni George Mkuchika! To mention a few! Damn CCM!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.