Tamaduni za kishetani nazichukia sana, kwa nini wazazi mnatuharibu kiasi hiki? Maana mtu akikuwa anakosa amani kabisa. Ukiangalia mtindo wa tohara mtu anaachwa na ngozi kiasi kwamba hata msichana anataka kukupapasa humwachii, mara mabinti wanakeketwa ukimwingilia wala hata hapati msisimko, WAZAZI WAACHENI WATOTO NA ASILI YA MIILI YAO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.