bado hawajatangaza, ila watatangaza tu usijali......kuwa na moyo wa subira, proffesionals huhitaji hela nyingi katika mafunzo, koz wakishapiga miez 6 ya kwanza, direct wanaenda monduli, so lazima jeshi lijipange,...si unajua maproffesional ukiwazingua, wanapiga chini wanasepa..........
ndugu yangu, hapa Tanzania, hakuna chombo cha dola hata kimoja chenye wataalam wa kutosha....mahitaji ya wanajeshi wenye taaluma ni makubwa, ufinyu wa bajeti na teknolojia ya zamani ndiyo changamoto kubwa katika uajiri na uhitaji wa proffesionals....and mind you, siku hizi watu wanaingia jeshi kwa kufata fedha, si kama enzi zetu, tuliingia jeshini kwa uzalendo na mapenzi kwa nchi yetu...so mtu hata kama una PhD, na hujaenda monduli...kama ni mzalendo, utakata nyasi tu hadi muda wako ufike....alafu for your information, taaluma inahitajika na inalipa zaidi JKT na sio JWTZ...Watatangaza kwa watu wa MD, Meteorology na Architecture coz ndio Jeshi lina demand nao urgently kwa sasa so ni hao tu ndio hawahitaji kupitia JKT kwanza bali wataenda Monduli moja kwa moja! The rest ni LAZIMA upite JKT kwanza na huko utakuta wenzio wako Benchi wanangoja chance ya kuandikishwa JWTZ na wengine wana masters, sasa wewe jiite Proffesional na kidegree chako hapohapo una mawazo eti huyo cjui pro aende jeshi halaf akizinguliwa atoke! Ili akafanye kazi gani sasa coz logically kama uliona kuna mchongo sumwhere else ulifata nini jeshini ewe ndugu 'Professional'!?
kama unapenda jwtz tumia vyeti vya form 4 na 6 ukipata ajira utasajili vyeti vyako ukiwa kazini
huo ni ushauri tu
Askari wa miguu wewe haujui ki2 wale unaowaona bench ujue ni watoto wa masikini mabosi zako wako bize wanapiga Bia dis tym wamesha daka mshiko usikariri mambo hakunaga formular ya mafanikio eti mateorlogist na archtectures je? Wanazidi 100 wanaotaka u jw? Acha watu wajaribu bahati zao ur so jelous wewe unae jiita Askari wa miguu
ndugu yangu, hapa Tanzania, hakuna chombo cha dola hata kimoja chenye wataalam wa kutosha....mahitaji ya wanajeshi wenye taaluma ni makubwa, ufinyu wa bajeti na teknolojia ya zamani ndiyo changamoto kubwa katika uajiri na uhitaji wa proffesionals....and mind you, siku hizi watu wanaingia jeshi kwa kufata fedha, si kama enzi zetu, tuliingia jeshini kwa uzalendo na mapenzi kwa nchi yetu...so mtu hata kama una PhD, na hujaenda monduli...kama ni mzalendo, utakata nyasi tu hadi muda wako ufike....alafu for your information, taaluma inahitajika na inalipa zaidi JKT na sio JWTZ...