jwtz

tricky

Senior Member
Oct 11, 2012
106
29
msaada jaman kwa yyte anayejua,vp mwaka huu jwtz hawaajiri proffesional? coz naona sahv wanaofanyiwa usahili wilayani ni form 4 na 6..
 
kama unapenda jwtz tumia vyeti vya form 4 na 6 ukipata ajira utasajili vyeti vyako ukiwa kazini
huo ni ushauri tu
 
bado hawajatangaza, ila watatangaza tu usijali......kuwa na moyo wa subira, proffesionals huhitaji hela nyingi katika mafunzo, koz wakishapiga miez 6 ya kwanza, direct wanaenda monduli, so lazima jeshi lijipange,...si unajua maproffesional ukiwazingua, wanapiga chini wanasepa..........
 
Sikuhizi jwtz wamesitisha kichukua professionals direct,wanachukua watu from jkt,hii ni kutokana na professionals kukaa mda mfupi jeshini wakiona mbo hayaendi walivotarajia au wakipata kazi kwngne wanaomdoka jwtz wakaamua kuanza kuchukua watu thru jkt,ulionje jeshi kwanza ukijua lilivyo wakja kkchukua inamaana uwezekano wa kukimbia jeshi utkua mdg.
 
bado hawajatangaza, ila watatangaza tu usijali......kuwa na moyo wa subira, proffesionals huhitaji hela nyingi katika mafunzo, koz wakishapiga miez 6 ya kwanza, direct wanaenda monduli, so lazima jeshi lijipange,...si unajua maproffesional ukiwazingua, wanapiga chini wanasepa..........

Watatangaza kwa watu wa MD, Meteorology na Architecture coz ndio Jeshi lina demand nao urgently kwa sasa so ni hao tu ndio hawahitaji kupitia JKT kwanza bali wataenda Monduli moja kwa moja! The rest ni LAZIMA upite JKT kwanza na huko utakuta wenzio wako Benchi wanangoja chance ya kuandikishwa JWTZ na wengine wana masters, sasa wewe jiite Proffesional na kidegree chako hapohapo una mawazo eti huyo cjui pro aende jeshi halaf akizinguliwa atoke! Ili akafanye kazi gani sasa coz logically kama uliona kuna mchongo sumwhere else ulifata nini jeshini ewe ndugu 'Professional'!?
 
Askari wa miguu wewe haujui ki2 wale unaowaona bench ujue ni watoto wa masikini mabosi zako wako bize wanapiga Bia dis tym wamesha daka mshiko usikariri mambo hakunaga formular ya mafanikio eti mateorlogist na archtectures je? Wanazidi 100 wanaotaka u jw? Acha watu wajaribu bahati zao ur so jelous wewe unae jiita Askari wa miguu
 
Watatangaza kwa watu wa MD, Meteorology na Architecture coz ndio Jeshi lina demand nao urgently kwa sasa so ni hao tu ndio hawahitaji kupitia JKT kwanza bali wataenda Monduli moja kwa moja! The rest ni LAZIMA upite JKT kwanza na huko utakuta wenzio wako Benchi wanangoja chance ya kuandikishwa JWTZ na wengine wana masters, sasa wewe jiite Proffesional na kidegree chako hapohapo una mawazo eti huyo cjui pro aende jeshi halaf akizinguliwa atoke! Ili akafanye kazi gani sasa coz logically kama uliona kuna mchongo sumwhere else ulifata nini jeshini ewe ndugu 'Professional'!?
ndugu yangu, hapa Tanzania, hakuna chombo cha dola hata kimoja chenye wataalam wa kutosha....mahitaji ya wanajeshi wenye taaluma ni makubwa, ufinyu wa bajeti na teknolojia ya zamani ndiyo changamoto kubwa katika uajiri na uhitaji wa proffesionals....and mind you, siku hizi watu wanaingia jeshi kwa kufata fedha, si kama enzi zetu, tuliingia jeshini kwa uzalendo na mapenzi kwa nchi yetu...so mtu hata kama una PhD, na hujaenda monduli...kama ni mzalendo, utakata nyasi tu hadi muda wako ufike....alafu for your information, taaluma inahitajika na inalipa zaidi JKT na sio JWTZ...
 
kama unapenda jwtz tumia vyeti vya form 4 na 6 ukipata ajira utasajili vyeti vyako ukiwa kazini
huo ni ushauri tu

Kama tayari amieishafikia ngazi ya proffesional ina maana ana degree na kuendelea, umri huo hautamruhusu kutumia vyeti vya form four.
 
Askari wa miguu wewe haujui ki2 wale unaowaona bench ujue ni watoto wa masikini mabosi zako wako bize wanapiga Bia dis tym wamesha daka mshiko usikariri mambo hakunaga formular ya mafanikio eti mateorlogist na archtectures je? Wanazidi 100 wanaotaka u jw? Acha watu wajaribu bahati zao ur so jelous wewe unae jiita Askari wa miguu

Sasa mkuu kwani unafkiri humu JF watu wote wanaoview hii thread ni watoto wa vigogo wa jeshi au serikalini? Tunajaribu kuwa realistic datz ol xo think of the majority hapa cjazungumzia watoto au ppo ambao wajomba au shemeji zao ni senior officers wa kuwakingia kifua wapate chance ya JW soon afta mafunzo ya JKT
 
ndugu yangu, hapa Tanzania, hakuna chombo cha dola hata kimoja chenye wataalam wa kutosha....mahitaji ya wanajeshi wenye taaluma ni makubwa, ufinyu wa bajeti na teknolojia ya zamani ndiyo changamoto kubwa katika uajiri na uhitaji wa proffesionals....and mind you, siku hizi watu wanaingia jeshi kwa kufata fedha, si kama enzi zetu, tuliingia jeshini kwa uzalendo na mapenzi kwa nchi yetu...so mtu hata kama una PhD, na hujaenda monduli...kama ni mzalendo, utakata nyasi tu hadi muda wako ufike....alafu for your information, taaluma inahitajika na inalipa zaidi JKT na sio JWTZ...

Wajuba mbona mnakuja juu utafkiri nimewaambia habari za msiba wa ghafla!, usijidanganye ktk kila institution kuna kitu inaitwa saturation yan inafka point demand inacease kwa wakat fulani so tusimeze mambo ya JW ni zaid ya uyajuavyo, wat I said ni mpango wa uajiri wa jeshi kwa profession hizo nilizozitaja yaan nmetoa tu information sasa ucnione mimi kama nakubania au nasubiri jeshi kama ww coz hapa zaid ya hizi I'd za JF zetu hatujuani
On the other hand pia inawezekana fani nyingine wakachukuliwa iwapo watu wa hizo fani tajwa hawatafikia idadi ya maafisa wanafunzi wanaotakiwa kwa intake ijayo so only under hiyo circumstances ndio utaescape JKT
Halaf unaposema JKT kuna maslahi cjui Dili kuliko JW hueleweki perhaps u need to review mfumo mzima wa JKT kiutawala mayb in the end utaelewa kama JKT na JW ni 'mutatis Mutandis'.
 
Back
Top Bottom