RORYAKWETU
Member
- Nov 18, 2011
- 83
- 13
Je, Wana JF mhitimu wa shahada ya 1 anaweza Kunufaika kwa kiasi gani akijiunga na JWTZ/TPF kwa kipindi hiki cha ukosefu wa ajira kama wimbo wa taifa letu?.Tafadhalini sana mchango wenu ni wa muhimu sana kwangu wakuu.:spy: