FarLeftist
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 363
- 20
Yule mwndishi aliyejibiwa na mtu wa Tume ya Uchaguzi jana baada ya kuhoji kucheleweshwa kwa matokeo majimboni bila sababu za msingi, kweli inaonyesha hawa jamaa hawachagui majibu kulingana na maswali....