kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
hahaha Kiranga umeua mkuu.nimeingia Urban Dictionary: nincompoop kucheck maana ya hilo neno nikaishia kucheka sana.sina shaka hata huyo mkaa mia akigundua maana yake atajicheka zaidi.Mtandao ni nini? Jamii ni nini? Mtandao wa jamii ukoje na una sifa gani?
Huyu bado anaishi chini ya jiwe gani?
Yuko Kandhahar gani huko? Anakaa kijiwe na ma Pashtun gani?
Watu mpaka leo wanataka ku legislate freedom of speech on the internet bongo? Wameshindwa Communist Party of China na Vladimir Putin, mtaweza bongo?
Ishauri Ikulu iache kutumia email za yahoo ambazo hazina hata https encryption kwanza, na wizara zisituaibishe kwa kutumia IIS zenye matobo kuliko Swiss cheese.
Unaweza kusaidia kitu.
Freaking nincompoop who does not understand the inevitability of technology.