Julius Malema: ANC Youth League Leader

Ndahani

Platinum Member
Jun 3, 2008
18,119
9,049
Inasemekana Julius Malema ni mkereketwa mkubwa wa Jacob Zuma na mtu asiyeogopa athari za kiongozi kutamka chochote unachojisikia kutamka.Simjui vizuri yeye ni nani, lakini matukio ya hivi karibuni ya South Africa especially lile la kuuwawa kwa kiongozi wa white supremacy zimenifanya nijiulize huyu bwana ni nani, na nini tunaweza kujifunza kutoka kwake kama kiongozi wa wing ya vijana wa ANC.
Au naye anaandaa tatizo la usoni la South Africa bila kujua?
 
huyo jamaa ni populist...
halafu inaonekana shule yake iko very limited.....

Zuma alimtumia huyo jamaa kuupata urais but
ni tatizo kubwa sana hapo baadae..
tayari kashakuwa milionea thru his contacts..
unaweza imagine the rest..........
 
Huyu jama hana shule

Pia Zuma kumtumia kuupata Urais itakuja kuigharimu south africa soon

Huyu bado hajaachana na mawazo ya kibaguzi.Hana umakini na kauli zake lakini kupitia yeye unaweza jua kwamba jamii ya waafrika SA wanawaza nini

Pia,ni kijana ambayo anaweza kuiingiza Afrika kusini katika matatizo mengne na hata ktk Genocide
 
nadhani naye ni mtu anayefuata nyayo za zuma, kama raisi anaweza kuimba ule wimbo uliokuwa ukiimbwa wakati wa harakati, yeye ana wasiwasi gani? hakuna wa kumgusa hapo. lakini hayo yote hayatawasaidia kama hawatafanya jitihada kubadili hali za raia masikini.
 
jamaa ana nguvu kuliko zuma.ndio maana zuma anaogopa kumnyamazisha. ndiye rais ajaye wa afrika kusini. watu wamechoka kutoyaona matunda ya uhuru. hivyo malema anatumia mwanya huo kuuza sera zake za kichavezi. kwa mfano kawaambia watataifisha migodi yote. majuzi alikutana bob huko zim kupata darasa!
 
Huyu kijana ni very daring!Zuma anaonekana kama ndo mfuasi wa huyu kijana,ila akiingia madarakani weupe watakoma.Hata hivyo ana harufu ya ufisadi sana

yaani ni kama Nchimbi alivyokua na JK wakati mkulu alipoingia ikulu
 
jamaa ana nguvu kuliko zuma.ndio maana zuma anaogopa kumnyamazisha. ndiye rais ajaye wa afrika kusini. watu wamechoka kutoyaona matunda ya uhuru. hivyo malema anatumia mwanya huo kuuza sera zake za kichavezi. kwa mfano kawaambia watataifisha migodi yote. majuzi alikutana bob huko zim kupata darasa!

God forbid! Yaani hao Waafrika Kusini wakimchagua huyu baffoon wamekwisha! Hebu cheki hii clip hapa chini



Kweli presidential material huyu? Hehehehehehee.....haya bana....mi bora nibakie Unyamwezini tu.
 
Last edited by a moderator:
Malema represents the majority of south africans of all colors, tofauti ni kuwa tu he is not being diplomatic about his feelings. I totally understand him but i don't support the way he operates
 
He doesn't represent South Africans of all colors. He is a racist bigot. Quite frankly he's an embarassment to the ANC.
 
he does! sema he is being vocal about it. Siwezi amini eti apartheid is all forgiven no grudges nothing. it is still there lurking in the shadows whether we like it or not
 
You said he represents South Africans of all colors, right? How so? How does he represent South Africans of Indian extraction? How does he represent South Africans of mixed race(s)? How does he represent South Africans of European descent?
 
Malema represents the majority of south africans of all colors, tofauti ni kuwa tu he is not being diplomatic about his feelings. I totally understand him but i don't support the way he operates

Hebu rudia tena kusoma
 
Hebu rudia tena kusoma

As in the hatred for other races, hata coloreds suffered from apartheid. He hates whites and there are whites like ET who hate and consider blacks to be of a lesser race. This thing of racial equality exists in utopia
 
Just a party firebrand and opportunist. Not smart; not strategic. The sort of early sloganeering leaders who drove our countries into socio-economic and political obscurity. Most of these types of populist black leaders end up exploiting office privileges to corrupt entire national systems in the name of correcting wrongs of colonialism/apartheid and/or reaping the benefits of "sacrifice" in the fight for freedom.

I really hate to think this: that the forseeable future well-being of South Africa may largely depend on the active involvement of the white guys in order to maintain the necessary checks and balances against inevitable excesses of the so-called black revolutionaries once the reins of power fall into their hands. Alternatively, a significant split of the ANC may open doors for true democracy and break the herd mentality of black people of voting into office any scum as long as he/she bears the party colours.
 
As in the hatred for other races, hata coloreds suffered from apartheid. He hates whites and there are whites like ET who hate and consider blacks to be of a lesser race. This thing of racial equality exists in utopia

So are you saying the majority of people in South Africa have racist feelings towards people who have different skin color than them?
 
So are you saying the majority of people in South Africa have racist feelings towards people who have different skin color than them?
Yes, the feelings are of different degrees of course, malema being a bit on the extreme. But then again this is just my observation, it might be false and true reconciliation might be there...yeah right
 
Huyu bwana akiendelea hivi alivyo sasa, tutamsahau muda sio mrefu. Namkumbuka vizuri Chris Hani naye alikuwa na mitazamo kama ya jamaa
 
What's happening in SA is no different from what's happening in USA. Kuna kitabu cha 'No Easy Victories: African Liberation and American Activists over a Half-Century, 1950-2000' kinaelezea stricking similarities kati ya sehemu hizi mbili. Rush Limbaugh na wafuasi wake wanaombea Obama 'ashindwe', huku wakicritisize every single policy initiative hata zile zinazofanana na za Bush (wote wawili) na Reagan....the three Republican Presidents, wakati huko SA hao wafuasi wa huyu jamaa wanaziambia timu zinazoenda kwenye WC zisiende. Hizi symbols zao (old south african anthem, apartheid era flag, swastika etc.) zingekuwa illegal kama kweli SA govt wako serious na kumaintain the union.

Hate to say it, but SA will eventually go Z'bwe route if not worse, been saying this for years....that place is a time bomb.

Samahani kwa kwenda off-topic, sikujisikia kuanzisha thread nyingine. Najaribu kuzoea the new layout.
 
God forbid! Yaani hao Waafrika Kusini wakimchagua huyu baffoon wamekwisha! Hebu cheki hii clip hapa chini



Kweli presidential material huyu? Hehehehehehee.....haya bana....mi bora nibakie Unyamwezini tu.


Mkuu did you notice the not so subtle giggles and laughs in the background? Did you notice that no one was trying to stop him in his undiplomatic, unguided missile like attack? This shows that they are people who support his actions and those who won't stand up to him. His failure or success will depend on how many such people are there i South Africa. And looking at SA's recent xenophobic tendency I am forced to think that he gunners the support of the majority of poor black South Africans. Just an observation.
 
Last edited by a moderator:
God forbid! Yaani hao Waafrika Kusini wakimchagua huyu baffoon wamekwisha! Hebu cheki hii clip hapa chini



Kweli presidential material huyu? Hehehehehehee.....haya bana....mi bora nibakie Unyamwezini tu.


Wow!!!...I'm at loss of words.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom