Ukweli upo hivi, jua lipo umbali wa maelfu ya futi chache kutoka usawa bahari ndio maana lina miale mikali kama moto, mwezi upo umbali wa malaki ya futi kutoka usawa wa bahari ndio maana miale yake ya mwanga ni hafifu na sio mikali kama ya jua, na nyota zipo mbali zaidi na zaidi umbali wa malaki kwa malaki ya futi toka zilipo jua na mwezi na ndio maana zinaonekana kwa mbali zikiwa ni ndogo ndogo kama tochi, ila wachunguzi wanasema kuwa nyota zina umbile kubwa zaidi ya jua na mwezi, ndio maana siku zote wanasayansi ufanya safari za mwezini kwa kuwa sio mbali sana kufika lakini hawawezi kuzifikia nyota kwani zipo mbali saaana hazifikiki.