Askari Kanzu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 4,598
- 1,233
Hali halisi. Kijua cha saa sita mchana na kauli mbiu ya maisha bora kwa kila mtanzania. Kudaadadeki!
Mkuu Askari Kanzu Tanzania ndivyo ilivyo hivyo? Kumechoka namna hivyo jamani? Sisi WaTanzania hatuna Viongozi wa nchi wanaoipenda nchi yao jamani? Mabarabara mabovu mji unanuka maji safi hakuna hakuna umeme ahhhh tutafika kweli jamani?Hali halisi. Kijua cha saa sita mchana na kauli mbiu ya maisha bora kwa kila mtanzania. Kudaadadeki!
Mkuu Askari Kanzu Tanzania ndivyo ilivyo hivyo? Kumechoka namna hivyo jamani? Sisi WaTanzania hatuna Viongozi wa nchi wanaoipenda nchi yao jamani? Mabarabara mabovu mji unanuka maji safi hakuna hakuna umeme ahhhh tutafika kweli jamani?
Somebody aniambie hapo ni mji gani wa Tanzania?
puliiz....anayejua atuambie tuna shida na jina la eneo.......
Hapo hakuna cha ubora, mbona hata bongo kwa sana tu. tofauti ni maeneo tu.duh....bora....