LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,352
- 3,222
Nadhani hapa busara itatumika. Kama mpaka ni ufukwe wa ziwa Nyasa upande wa Tanganyika, mbona Malawi haijawahi kuweka kituo cha uhamiaji kama ilivyo Namanga kati ya Kenya na Tanzania? Huyu mama nadhani ni mtu wa busara, tusubiri tuone.
Ingemtokea puani!