The Whistleblower
Senior Member
- Dec 9, 2022
- 137
- 224
Ni Mtanzania, na Tanzania haina upande wowote kwenye siasa za kimataifa, na zaidi ya yote Palestina ina Ubalozi wake Tanzania.
Alienda kusoma Israel, na yeye akatekwa HAMAS walipoivamia Israel, kwenye Video iliyoenea kwenye mitandao ya kijamii, inaonyesha Joshua akilia huku akiwaomba msamaha HAMAS wasimuue, lakini walimuua kikatili kisha maiti yake wakaitupa na ikaokotwa na jeshi la Israel.
Joshua alikuwa akimiliki ardhi ya Wapalestina? Joshua alikuwa Askari mamluki aliyekamatwa akipigana vita Gaza? Joshua aliwahi kuua Wapalestina? Majibu ni hapana.
Joshua alienda kusomea kilimo, ndio magaidi ya HAMAS yakamteka pamoja na Raia wengine wakiwamo wa Israel.
HAMAS wana chuki na wa Israel tunajua, sasa Joshua aliwakosea nini hadi kumuua kikatili hivyo?
Nakulilia Joshua, hukuwa na hatia, halafu kuna mijitu pumbavu imejaa humu kisa Udini inashabikia ujinga ujinga.
Damu yako Joshua haijamwagika bure, ndio maana huko Gaza wanazidi kupukutika tu, watakuja kutahamaki na kukuta wamebaki elfu tano tu
God bless Israel, God bless America, God bless Tanzania.
Alienda kusoma Israel, na yeye akatekwa HAMAS walipoivamia Israel, kwenye Video iliyoenea kwenye mitandao ya kijamii, inaonyesha Joshua akilia huku akiwaomba msamaha HAMAS wasimuue, lakini walimuua kikatili kisha maiti yake wakaitupa na ikaokotwa na jeshi la Israel.
Joshua alikuwa akimiliki ardhi ya Wapalestina? Joshua alikuwa Askari mamluki aliyekamatwa akipigana vita Gaza? Joshua aliwahi kuua Wapalestina? Majibu ni hapana.
Joshua alienda kusomea kilimo, ndio magaidi ya HAMAS yakamteka pamoja na Raia wengine wakiwamo wa Israel.
HAMAS wana chuki na wa Israel tunajua, sasa Joshua aliwakosea nini hadi kumuua kikatili hivyo?
Nakulilia Joshua, hukuwa na hatia, halafu kuna mijitu pumbavu imejaa humu kisa Udini inashabikia ujinga ujinga.
Damu yako Joshua haijamwagika bure, ndio maana huko Gaza wanazidi kupukutika tu, watakuja kutahamaki na kukuta wamebaki elfu tano tu
God bless Israel, God bless America, God bless Tanzania.