dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,483
Bei ya Sukari shilingi ngapi huko kwenuNi kama mgonjwa anayetaka kufa. Anaanza kuwapa matumaini kwa kuwaagiza nileteeni pilau, juice nk. halafu akishakula mnaambiwa yule mgonjwa kafa. Hivi ndivyo itakavyokuwa 2020. CHADEMA ya leo inafurahia kura za wanachama feki mafisadi walioipigia kura kuogopa mziki wa MAGUFULI. Subirini 2020 ndo utajua hizo kura zilikuwa za wanachadema au mafisadi ya CCM yaliyotaka fisadi mwenzao aingie ikulu?