Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

Kuna uwezekano mkubwa baadhi ya viongozi wa Chadema wako kwenye system haiwezekani kila mara wanafanya makosa ambayo yako wazi.
 
Kwa msiba huu lazima atajifunza kitu muhimu sana.

Walivyo tegemea sivyo ilivyo kuwa kwa kiongozi mkubwa kama rais mstaafu.

Jaribu kuvuta picha ya mzee Mengi msiba wake ulikuwaje? Ruge msiba wake ulikuwaje?

Watu wana vidonda mioyoni
Hahahaaa kivipi mkuu???

Mi natamani sikumoja nimuone Stone anakubali sehemu alipopungukiwa
 
1.PNG

Habari nzurwiiiiiii sana..
Kusoma tu maneno hayo.. iwe isiwe.. nzurwiiiiii.. ukweli mumechemuka leo.. bao lingine.. la kujitwakia..
Mimi napita.. 😃😃😃😃
 
Itifaki ipo na Duniani Kote kuna Utaratibu..sijui Kwann chadema kila mara wanajiwekea kitanzi wenyewe.

Mkuu Wa nchi ameshaingia kwa usalama sio sawa nyie chadema kuingia baada ya Rais..Sio Heshima na pia sio sawa...

Lawama kila mara ila mmechemka sana
sawa tutajirekebisha.
 
Vikiwa vya moto ni mwendo wa kukana, pamoja na kaka Sugu kuamua kuwa muungwana timu ya wahafidhina imeamua kukaza. Adai alikuwa na Mbilinyi leo na akauti yake ikadukuliwa, akaamua kukaa kimya mpaka mdukuzi alipotoa ujumbe.

Lema.PNG
 
Ila kiprotocal chadema wamechemsha leo, kawaida inatakiwa kuingia mapema kwenye shughuli kabla mkuu wa nchi ajaingia. Labda Kama kwa sababu ya uchovu wa Safari alipitiwa usingizi
 
Wacheni habari za kuokoteza kutoka kwa wahuni wa lumumba.
Leo, ilikuwa ni siku ya kuuaga Kitaifa mwili wa Rais wa Awamu ya 3, Benjamin Mkapa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar na viongozi mbalimbali walikuwa wakienda kutoa salamu zao za mwisho

Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe walienda uwanjani hapo na baadaye kudai kuwa walizuiwa kuingia Uwanjani kwa ajili ya kuuaga mwili wa Mkapa

Katika Ufafanuzi wao CHADEMA huku wakiitaka Serikali itoe ufafanuzi kwa kuzuiwa kwao wamesema wao wamefuata ratiba waliyopelekewa ikionesha tarehe, muda, siku tukio na muhusika

Hata hivyo, Jana Msemaji wa Serikali aliweka bayana ratiba ya kufika uwanjani hapo ambapo Serikali iliwataka Viongozi wote wa Kitaifa na Viongozi wa Kisiasa kufika katika Uwanja wa Karimjee na kuacha magari yao hapo kukiwa na gari maalum la kuwapeleka uwanjani ambapo la mwisho liliondoka saa 1:30 asubuhi
Screenshot_20200728-170142.jpeg
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom