Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,688
- 1,281
Mhhhh................
Walau havai PAMBA NZITOOO kama Mama fulani......
Mama ni kama Michelle Obama vile. Nguo zake ni za kawaida sana sana. Atakuwa katoka kwenye familia yenye CLASS maana hahitaji kuwaambia mashoga zake kuwa "Sasa mtanikoma......" Kuna wengine waume zao wakishakuwa Marais, huwa wanawake wengine anataka wazime kabisa sigara maana yeye kashakuwa Mama No.1 nchini mwake.
Mimi hiyo picha ya pili nimekereka kidogo- ni mwanamke mzuri wa haja asingeweka hiyo minywele ya bandia, yeye kama kioo cha taifa akiwa natural na kuonea fahari asili yake ingeleta raha zaidi