Duuuu!Akili zako ni sawa na za Jokate
Umeandika ujinga.Siku Jesca Msambatavangu akiwa Katibu mkuu UWT siku hiyo CHADEMA watafanya vikao kila siku kukabiliana naye. Shughuli ya Jesca anaijua Msigwa
Ujuege kuwa uzuri wa sura sio ukubwa wa akili. Ingekuwa hivyo mamiss wangekuea wanachukua the best kwenye mitihani ya NectaCDM Poleni!
CCM Hongereni!
Kuteuliwa kwa miamba hiyo miwili kwa mkupuo mmoja ni ishara ya kuiimarisha CCM na kuizika CDM Sacco's.
Jakote na Lulandala ni watu makini kiutendaji na kwa vyovyote vile CCM ndio wenye faida kubwa kufuatia uteuzi huo.
1. Lulandala - amewahi kuhudumu CDM kwa hiyo anaifahamu vzr CDM. So huwezi kushindwa kubomoa nyumba ulojenga mwenyewe lkn pia huwezi kushindwa kung'oa nguzo ulosimika mwenyewe. CDM nieleweni!
2. Safari yake imeanzia ktk sanaa - huyu ana kundi kubwa la watu wanaofuatiliwa mitandaoni - safari nyingine ktk utumishi wa ukuu wa wilaya hajawahi kunukuliwa kwa udhaifu wowote wa kiuongozi ndiyo maana baada ya uteuzi CDM wamepararaizi - hawana cha kumsemea - sasa kazi yao iwe moja tu kuizika CDM! Sisi wengine tutashiriki kutoka tanga la CDM.
CDM bye bye!
CCM ng'araaa!
Husijipe moyo, kiukweli ccm mmekosa watu wa kuteua mkawapa nyadhifa!! Of all people, Jokate?????!!!!! Guys, you are not serious, period!!!!CDM Poleni!
CCM Hongereni!
Kuteuliwa kwa miamba hiyo miwili kwa mkupuo mmoja ni ishara ya kuiimarisha CCM na kuizika CDM Sacco's.
Jakote na Lulandala ni watu makini kiutendaji na kwa vyovyote vile CCM ndio wenye faida kubwa kufuatia uteuzi huo.
1. Lulandala - amewahi kuhudumu CDM kwa hiyo anaifahamu vzr CDM. So huwezi kushindwa kubomoa nyumba ulojenga mwenyewe lkn pia huwezi kushindwa kung'oa nguzo ulosimika mwenyewe. CDM nieleweni!
2. Safari yake imeanzia ktk sanaa - huyu ana kundi kubwa la watu wanaofuatiliwa mitandaoni - safari nyingine ktk utumishi wa ukuu wa wilaya hajawahi kunukuliwa kwa udhaifu wowote wa kiuongozi ndiyo maana baada ya uteuzi CDM wamepararaizi - hawana cha kumsemea - sasa kazi yao iwe moja tu kuizika CDM! Sisi wengine tutashiriki kutoka tanga la CDM.
CDM bye bye!
CCM ng'araaa!
Ujue mtoa hoja Ni tahila au mwehu Kwa Jina sahihiKwani shida yetu watanzania ni kuimaliza CDM au CCM na serikali yake kuwa na mipango thabiti ya kutatua kero za wananchi?