Njemba Soro.
JF-Expert Member
- Oct 5, 2013
- 3,246
- 5,757
tuliza kinyeo hicho utaparuliwa po....ngo we.Kwani wewe mume wako kila mtu kamuona?
tuliza kinyeo hicho utaparuliwa po....ngo we.Kwani wewe mume wako kila mtu kamuona?
Huo ndio ukweli atakaywkypinga na yeye anarukaruka tu,Jokate anajulijana kwa kurukaruka na,ni muimini mzuri kanisani St Peters.Katika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza...
Umalaya tuNi maisha yake binafsi. Viongozi wengi tu wana watoto na hawana ndoa
Jibu swali. Watoto wa siku hizi mmekosa adabu kabisa.tuliza kinyeo hicho utaparuliwa po....ngo we.
Jokate ni wema aliyesomaNakubaliana na ww, lakini yeye kwa nafasi ya Utumishi anayoitumikia anatakiwa kuwa mfano kwa wananchi wake, mkuu wa wilaya anaishi kama bachelor, haileti picha nzuri kabisa.
Umalaya tu
Asiposhika mimba tunatoa manunguniko.Katika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza...
Mleta hoja anazidi kuthibitisha kwamba upeo wake ni wa hovyoKatika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza...
Mimi ndio nimemdungaDah maskini unalilia mimba ya jojo
Hakuna kumungunya maneno hatuwezi kuendelea kuongozwa na Kiongozi asiye na maadili ya utumishi, anayetarijiwa Kupata mtoto nje ya ndoa, atawashauri nini na kuwafundisha nini mabinti zetu mashuleni, ambao wengi wao wanamchukulia kama role model wao.
Jamii na Watumishi wenzake anaowasimamia watamchukuliaje?, Kiujumla tayari kapoteza sifa za kuendelea kushika wadhifa huo.
Mh. Rais tuletee DC mwingine Temeke mwenye maadili ya utumishi.
#Rais teua DC mwingine Temeke
Mleta mada uko sahihi. Huyu dada kwa sasa anatembea na ushahidi kuwa ni muasherati. Kuna uwezekano mkubwa alitembea na mume wa mtu.Katika utumishi wa nchi Kiongozi anayeongoza wilaya, mkoa n.k ambaye kikatiba anamwakilisha Rais wa Nchi, kubeba mimba au kuzaa pasipo kuwa na ndoa inatoa taswira hasi kwa wale unaowaongoza...
Fact.Hakuna kumungunya maneno hatuwezi kuendelea kuongozwa na Kiongozi asiye na maadili ya utumishi, anayetarijiwa Kupata mtoto nje ya ndoa...
Mimi ndio nimemdunga
Vunja ndio nini,njoo na weww nikudunge uwache kudangaPole mkuu mfate vunja akudunge