Hana ukisu wwte dem wa kawaida tu. Astui.Ila Amber Heard ni kisu asee
Ila ndo kakorifiii
Na ww katika kundi la wampendao umo! au haumo? be honest.Ila huyu kaka anapendwa jamani
Yule manzi bangi anakwambia muhuni anatunza angel dust kwenye jarNa anakunya kitandani ili kukomoa
Huyo ni babu ana miaka 59 mwakani 60.Ila huyu kaka anapendwa jamani
Huyo ni babu ana miaka 59 mwakani 60.
Na ww katika kundi la wampendao umo! au haumo? be honest.
Baba yangu kamzidi miaka 4 huyo john lakini ukimuona tu hata foot 100 mbele automatically utasema shikamoo babu kwa sauti.Bado anavutia John
Ujue kawaida kwa sisi akina depp kupendwaNampenda sana
Sio kweliAngekuwa black hiyo kesi hasingeshinda.
Amber lt, au amber Luu, hawa wakina amber hawa wakua nao makiniBaada ya kesi iliovuta hisia za watu wengi kati ya John Deep na ex wake Amber Heard kutolewa hukumu ambayo ilimpa ushindi John Deep
Mahakama ilitoa hukumu kwamba madai yoye ya Deep kuwa mkewe alikua anamchafua na kutaka alipwe 10m usd yalikua sahihi na kumfanya Deep kuwa mmoja wa wanaume wachache sana USA kushinda kesi za namna hiyo mahakamani
Hata hivyo Deep amesema kesi hiyo haikuwa kwasababu ya kulipwa hiyo hela bali ilikua ni kulinda heshima yake, hivyo hatachukua hata senti moja kutoka kwa ex wake
😂😂😂 kila kitu kizuri chakoUjue kawaida kwa sisi akina depp kupendwa
Nashukuru sana
😂😂😂😂Baba yangu kamzidi miaka 4 huyo john lakini ukimuona tu hata foot 100 mbele automatically utasema shikamoo babu kwa sauti.
Mimi nadhani umevutiwa na pesa.
Kila mtu na macho yakeHana ukisu wwte dem wa kawaida tu. Astui.
Kweli?Na anakunya kitandani ili kukomoa