Not_Yet_Uhuru
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,304
- 431
MKiti wa vijana CDM kaitaka serikali kutoa ripoti ya idadi ya vifo kutokana na mgomo wa Madaktari, na iwawajibishe wote waliohusika na vifo hivyo. Source: Radio 1 news.
MIE NASHAURI PM AWE WA KWANZA KUNGO'KA Maana kama sio yeye alikosa busara na dira alipowapa vitisho, tatizo lisingekuwa kubwa na kudumu muda hivyo. PM AWAJIBIKE WA KWANZA, wengine wafuate.
MIE NASHAURI PM AWE WA KWANZA KUNGO'KA Maana kama sio yeye alikosa busara na dira alipowapa vitisho, tatizo lisingekuwa kubwa na kudumu muda hivyo. PM AWAJIBIKE WA KWANZA, wengine wafuate.