TANZANIAN NINJA
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 441
- 496
Heshima kwenu mabibi na mabwana,kuroiler ni aina ya kuku chotara ambao wanasifa za kienyeji kwa kiasi fulani na sifa za kuku wa kisasa kiasi fulani hasa kwenye rangi ya mayai hata wakati mwingine kiini cha yai huwa sio chanjano kama wale wa kienyeji,mimi nataka kuwatumia kuroiler wapandwe na jogoo la kienyeji je, kuku watakao zaliwa wanaweza kuwa na sifa zifuatazo?
1. Kutaga mayai madogo kwa umbo kama ya kienyeji
2. Kutaga mayai yenye ganda jeupe kama ya kienyeji
3. Kutaga mayai yenye kiini cha njano
4. Kuhatamia na kutotoa kama kuku wa kienyeji
Asante kwa kusoma na karibu kwa mchango wa elimu.
1. Kutaga mayai madogo kwa umbo kama ya kienyeji
2. Kutaga mayai yenye ganda jeupe kama ya kienyeji
3. Kutaga mayai yenye kiini cha njano
4. Kuhatamia na kutotoa kama kuku wa kienyeji
Asante kwa kusoma na karibu kwa mchango wa elimu.