Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Zambia bila makeke wamebeba kombe la ubingwa wa Afrika....................sisi tuna Raisi ambaye ni bingwa wa ahadi halafu mikakati yake ya utekelezaji ni bomu sana........................aliahidi 2005 kuwa twende Ghana na alidhani tatizo ni kutokuwa na kocha kutoka brazili....................pamoja na kumleta mbrazili hata Ghana hatukwenda..........................achilia mbali kuwa mabingwa wa Afrika.......................
hii sasa ndicho kipimo cha utendaji wa JK........................ahadi kibao utekelezaji sifuri..........................tutumie fursa hii kupitia ahadi zote za jk kuanzia 2005 hadi leo na kupima utekelezaji wake
hii sasa ndicho kipimo cha utendaji wa JK........................ahadi kibao utekelezaji sifuri..........................tutumie fursa hii kupitia ahadi zote za jk kuanzia 2005 hadi leo na kupima utekelezaji wake