Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Wakuu ebu angalieni hii kauli iliyotolewa na kiongozi wetu mwenye dhamana ya hali ya juu.
JK ametaja anasa za watanzania kuwa m,oja ya mambo yanafanya sekta ya kilimo kushindwa kufika malengo ya kuwa uti wa mgongo kwa uchumi wa Tanzania.
Akizungumza katika uzinduzi wa maonyesho ya nanenane katika viwanja vya Nzuguni njee kidogo ya mji wa Dodoma jana,JK alisema baadhi ya watanzania wanapenda kunua magari ya kifahari badala ya matrekta kwa ajili ya kilimo!!
Kwa kifupi ni hayo.lakini jambo la kujiuliza hivo ni kwa nini anweza kuongea hivyo wakati hata kwenye bajeti kilimoa imepewa kiasi kido kuliko wizara nyingine?
Kama hilo analijua kwa nini asifanye kama mwenzake kibaki alichofanya kurudisha magari yote ya kifahari ya serikali ili kuinua kilimo nchini?
Katika kiongozi ambaye amewahi kuongoza hii nchi yeye anaongoza kwa matmizi mabaya ya mapato yapatikayo kwa kuwa na ziara sizizokuwa na msingi hivi anashindwa kuelewa kuwa kilimo kiimerudi nyuma kwa sababu ya viongozi wabovu aliowateua na kuwapa madaraka ya kuongoza wakati hawezi?
KWELI HII KAULI ILITAKIWA KUTOLEWA NA YEYE AU AMETOMBOKA?
JK ametaja anasa za watanzania kuwa m,oja ya mambo yanafanya sekta ya kilimo kushindwa kufika malengo ya kuwa uti wa mgongo kwa uchumi wa Tanzania.
Akizungumza katika uzinduzi wa maonyesho ya nanenane katika viwanja vya Nzuguni njee kidogo ya mji wa Dodoma jana,JK alisema baadhi ya watanzania wanapenda kunua magari ya kifahari badala ya matrekta kwa ajili ya kilimo!!
Kwa kifupi ni hayo.lakini jambo la kujiuliza hivo ni kwa nini anweza kuongea hivyo wakati hata kwenye bajeti kilimoa imepewa kiasi kido kuliko wizara nyingine?
Kama hilo analijua kwa nini asifanye kama mwenzake kibaki alichofanya kurudisha magari yote ya kifahari ya serikali ili kuinua kilimo nchini?
Katika kiongozi ambaye amewahi kuongoza hii nchi yeye anaongoza kwa matmizi mabaya ya mapato yapatikayo kwa kuwa na ziara sizizokuwa na msingi hivi anashindwa kuelewa kuwa kilimo kiimerudi nyuma kwa sababu ya viongozi wabovu aliowateua na kuwapa madaraka ya kuongoza wakati hawezi?
KWELI HII KAULI ILITAKIWA KUTOLEWA NA YEYE AU AMETOMBOKA?