H H6MohdH6 Member Oct 8, 2010 43 3 Nov 5, 2010 #1 JK, tunaomba ukubali kushindwa tu ili kuinusuru nchi kutoka makucha ya wezi, wauza unga, na wafuasi wa Al Kaida.
JK, tunaomba ukubali kushindwa tu ili kuinusuru nchi kutoka makucha ya wezi, wauza unga, na wafuasi wa Al Kaida.
F Fishyfish JF-Expert Member Nov 3, 2010 231 1 Nov 5, 2010 #2 Similar to the National Socialist German Workers' Party, CCM would rather have war than peace.
Nyange JF-Expert Member Mar 25, 2010 3,516 1,865 Nov 5, 2010 #3 Chama cha majambazi kimedhihirisha uhuni wake kilivyokuwa kikipora Raslimali za nchi sasa kimejikita kwenye wizi wa demokrasia. Msinge tangaza kupiga kura, mngeendelea kulazimisha kuongoza kama ambavyo mmefanya. Lakini Mmejiingiza madarakani Shame!
Chama cha majambazi kimedhihirisha uhuni wake kilivyokuwa kikipora Raslimali za nchi sasa kimejikita kwenye wizi wa demokrasia. Msinge tangaza kupiga kura, mngeendelea kulazimisha kuongoza kama ambavyo mmefanya. Lakini Mmejiingiza madarakani Shame!