Juzi jumamosi nikitoka kibaruani nilimpita mtaa wa Jamhuri kama uanaelekea NBC Mnazi mmoja kuna muuza vitabu mtumba ,kama kawaida nilipause niangalie kama naweza kupata chochote. Hamadi nikakumbana na kitabu kimoja kichafu kweli kimeeandikwa JAKAYA KIKWETE TUMAINI JIPYA LILILOREJEA.
MTUNZI WAKE NI PRINCE BAGENDA, nakumbuka niliona kwenye taarifa ya habari uzinduzi wake mwaka 2006,kutokana na kutokuwa na imani na JK sikutaka kukisoma nilijua siku moja historia itamwumbua Ndugu Prince Bagenda. Kutokana na maono yangu yale juzi niliamua kukinunua na weekend hii nimekisoma.
Ama kweli lazima ukubali kwamba JK alijiandaa kuwa Rais kwa nguvu, kwa sifa alizooandikwa na mwandishi, na matukio na mchakato yaliyoripotiwa ni dhahiri jamaa alijipanga. Kama na mwandishi aliyaamini yale aliyokuwa naandika (wakati huo au mpaka sasa) Basi nina waswasi na weledi wa uchambuzi wa siasa wa ndugu BAGENDA. Kama alindika kwa kufuta upepo nampa pole.
Kwa ujumla ni mkwamba kama alivyokuwa Prince Bagenda na wengine wengi walikuwa na matarajio makubwa na Kikwete bila kufanya uchambuzi wa historia yake katika uongozi ,kilichooandikwa humo ni yale matumaini ya kuwa alikuwa CHAGUO LA MUNGU, IMEEANDIKWA WALIOCHANGIA UPATIKANAJI WA KITABU KILE NI ROSTAM AZIZ, MZEE SABODO NA JENERALI ULIMWENGU.
NINA IMANI KUWA WENGINE IKITOKEA ATAANZA KUANDIKA TOLEA LA PILI LA JK TUMAINI LIOLOREJEA SIJUI KAMA WATACHANGIA TENA!KITABU HICHO NITAKIRUDISHA KWA MUUZAJI .......ANAPATIKANA MTAA WA JAMHURI MWISHONI KABIASA KAMA UNAENDA MNAZI MMOJA NBC.
KITABU HICHO YAELEKEA KILIKUWA KINAMILIKIWA NA PRIMU KIBANDA ....KWA SBB KIMEANDIKWA KWA MKONO ....TO PRIMU KIBANDA,FROM THE AUTHOR! SASA KAMA KILIIBWA SIJUI ILA MSIMUONEE KIJANA WA WATU PENGINE MMILIKI ALIKITUPA KAMA TAKA KIKAOKOTWA!
MTUNZI WAKE NI PRINCE BAGENDA, nakumbuka niliona kwenye taarifa ya habari uzinduzi wake mwaka 2006,kutokana na kutokuwa na imani na JK sikutaka kukisoma nilijua siku moja historia itamwumbua Ndugu Prince Bagenda. Kutokana na maono yangu yale juzi niliamua kukinunua na weekend hii nimekisoma.
Ama kweli lazima ukubali kwamba JK alijiandaa kuwa Rais kwa nguvu, kwa sifa alizooandikwa na mwandishi, na matukio na mchakato yaliyoripotiwa ni dhahiri jamaa alijipanga. Kama na mwandishi aliyaamini yale aliyokuwa naandika (wakati huo au mpaka sasa) Basi nina waswasi na weledi wa uchambuzi wa siasa wa ndugu BAGENDA. Kama alindika kwa kufuta upepo nampa pole.
Kwa ujumla ni mkwamba kama alivyokuwa Prince Bagenda na wengine wengi walikuwa na matarajio makubwa na Kikwete bila kufanya uchambuzi wa historia yake katika uongozi ,kilichooandikwa humo ni yale matumaini ya kuwa alikuwa CHAGUO LA MUNGU, IMEEANDIKWA WALIOCHANGIA UPATIKANAJI WA KITABU KILE NI ROSTAM AZIZ, MZEE SABODO NA JENERALI ULIMWENGU.
NINA IMANI KUWA WENGINE IKITOKEA ATAANZA KUANDIKA TOLEA LA PILI LA JK TUMAINI LIOLOREJEA SIJUI KAMA WATACHANGIA TENA!KITABU HICHO NITAKIRUDISHA KWA MUUZAJI .......ANAPATIKANA MTAA WA JAMHURI MWISHONI KABIASA KAMA UNAENDA MNAZI MMOJA NBC.
KITABU HICHO YAELEKEA KILIKUWA KINAMILIKIWA NA PRIMU KIBANDA ....KWA SBB KIMEANDIKWA KWA MKONO ....TO PRIMU KIBANDA,FROM THE AUTHOR! SASA KAMA KILIIBWA SIJUI ILA MSIMUONEE KIJANA WA WATU PENGINE MMILIKI ALIKITUPA KAMA TAKA KIKAOKOTWA!