JK tumaini lililorejea....poor Prince Bagenda!

MAKULUGA

JF-Expert Member
Jan 21, 2011
7,171
9,396
Juzi jumamosi nikitoka kibaruani nilimpita mtaa wa Jamhuri kama uanaelekea NBC Mnazi mmoja kuna muuza vitabu mtumba ,kama kawaida nilipause niangalie kama naweza kupata chochote. Hamadi nikakumbana na kitabu kimoja kichafu kweli kimeeandikwa JAKAYA KIKWETE TUMAINI JIPYA LILILOREJEA.

MTUNZI WAKE NI PRINCE BAGENDA, nakumbuka niliona kwenye taarifa ya habari uzinduzi wake mwaka 2006,kutokana na kutokuwa na imani na JK sikutaka kukisoma nilijua siku moja historia itamwumbua Ndugu Prince Bagenda. Kutokana na maono yangu yale juzi niliamua kukinunua na weekend hii nimekisoma.

Ama kweli lazima ukubali kwamba JK alijiandaa kuwa Rais kwa nguvu, kwa sifa alizooandikwa na mwandishi, na matukio na mchakato yaliyoripotiwa ni dhahiri jamaa alijipanga. Kama na mwandishi aliyaamini yale aliyokuwa naandika (wakati huo au mpaka sasa) Basi nina waswasi na weledi wa uchambuzi wa siasa wa ndugu BAGENDA. Kama alindika kwa kufuta upepo nampa pole.

Kwa ujumla ni mkwamba kama alivyokuwa Prince Bagenda na wengine wengi walikuwa na matarajio makubwa na Kikwete bila kufanya uchambuzi wa historia yake katika uongozi ,kilichooandikwa humo ni yale matumaini ya kuwa alikuwa CHAGUO LA MUNGU, IMEEANDIKWA WALIOCHANGIA UPATIKANAJI WA KITABU KILE NI ROSTAM AZIZ, MZEE SABODO NA JENERALI ULIMWENGU.

NINA IMANI KUWA WENGINE IKITOKEA ATAANZA KUANDIKA TOLEA LA PILI LA JK TUMAINI LIOLOREJEA SIJUI KAMA WATACHANGIA TENA!KITABU HICHO NITAKIRUDISHA KWA MUUZAJI .......ANAPATIKANA MTAA WA JAMHURI MWISHONI KABIASA KAMA UNAENDA MNAZI MMOJA NBC.

KITABU HICHO YAELEKEA KILIKUWA KINAMILIKIWA NA PRIMU KIBANDA ....KWA SBB KIMEANDIKWA KWA MKONO ....TO PRIMU KIBANDA,FROM THE AUTHOR! SASA KAMA KILIIBWA SIJUI ILA MSIMUONEE KIJANA WA WATU PENGINE MMILIKI ALIKITUPA KAMA TAKA KIKAOKOTWA!
 
Umenisaidia,

Nilikuwa nawaza leo na mimi niirushe thread hii. Mimi sina haja na kitabu kile. Nilisoma article zote za kchwa hiki wakati ule wa kampeni. Nakumbuka kuna waliojitokeza kumsakama Prince Bagenda lakini naye alijipanga vizuri akaonekana kawazidi hoja kipindi kile mwaka 2005. Kama alivyowazidi hoja Askofu Kilaini aliposema Kikwete ni chaguo la Mungu kipindi hichohicho.

Watu kama hawa hudhalilishwa na ile statement isemayo "Time will tell".

Bagenda kama ni mwanajamvi basi huu ni wakati wake kutetea kauli yake ya TUMAINI LILOREJEA.
 
Juzi jumamosi nikitoka kibaruani nilimpita mtaa wa Jamhuri kama uanaelekea NBC Mnazi mmoja kuna muuza vitabu mtumba ,kama kawaida nilipause niangalie kama naweza kupata chochote. Hamadi nikakumbana na kitabu kimoja kichafu kweli kimeeandikwa JAKAYA KIKWETE TUMAINI JIPYA LILILOREJEA.

MTUNZI WAKE NI PRINCE BAGENDA, nakumbuka niliona kwenye taarifa ya habari uzinduzi wake mwaka 2006,kutokana na kutokuwa na imani na JK sikutaka kukisoma nilijua siku moja historia itamwumbua Ndugu Prince Bagenda. Kutokana na maono yangu yale juzi niliamua kukinunua na weekend hii nimekisoma.

Ama kweli lazima ukubali kwamba JK alijiandaa kuwa Rais kwa nguvu, kwa sifa alizooandikwa na mwandishi, na matukio na mchakato yaliyoripotiwa ni dhahiri jamaa alijipanga. Kama na mwandishi aliyaamini yale aliyokuwa naandika (wakati huo au mpaka sasa) Basi nina waswasi na weledi wa uchambuzi wa siasa wa ndugu BAGENDA. Kama alindika kwa kufuta upepo nampa pole.

Kwa ujumla ni mkwamba kama alivyokuwa Prince Bagenda na wengine wengi walikuwa na matarajio makubwa na Kikwete bila kufanya uchambuzi wa historia yake katika uongozi ,kilichooandikwa humo ni yale matumaini ya kuwa alikuwa CHAGUO LA MUNGU, IMEEANDIKWA WALIOCHANGIA UPATIKANAJI WA KITABU KILE NI ROSTAM AZIZ, MZEE SABODO NA JENERALI ULIMWENGU.

NINA IMANI KUWA WENGINE IKITOKEA ATAANZA KUANDIKA TOLEA LA PILI LA JK TUMAINI LIOLOREJEA SIJUI KAMA WATACHANGIA TENA!KITABU HICHO NITAKIRUDISHA KWA MUUZAJI .......ANAPATIKANA MTAA WA JAMHURI MWISHONI KABIASA KAMA UNAENDA MNAZI MMOJA NBC.

KITABU HICHO YAELEKEA KILIKUWA KINAMILIKIWA NA PRIMU KIBANDA ....KWA SBB KIMEANDIKWA KWA MKONO ....TO PRIMU KIBANDA,FROM THE AUTHOR! SASA KAMA KILIIBWA SIJUI ILA MSIMUONEE KIJANA WA WATU PENGINE MMILIKI ALIKITUPA KAMA TAKA KIKAOKOTWA!


napita kwanza....
 
Umenisaidia,

Nilikuwa nawaza leo na mimi niirushe thread hii. Mimi sina haja na kitabu kile. Nilisoma article zote za kchwa hiki wakati ule wa kampeni. Nakumbuka kuna waliojitokeza kumsakama Prince Bagenda lakini naye alijipanga vizuri akaonekana kawazidi hoja kipindi kile mwaka 2005. Kama alivyowazidi hoja Askofu Kilaini aliposema Kikwete ni chaguo la Mungu kipindi hichohicho.

Watu kama hawa hudhalilishwa na ile statement isemayo "Time will tell".

Bagenda kama ni mwanajamvi basi huu ni wakati wake kutetea kauli yake ya TUMAINI LILOREJEA.
Sidhani kama anaweza kujitokeza kutetea upuzi huu. Japo bado yeye ni muumini wa jk lakini hana uwezo wa kukitetea tena kitabu chake
 
it was one of the fatal mistakes...beware of a plastic smiling face. poor him indeed, publisher wake included!!
 
bagenda yupo yupo tu hata kwao hawamjui vizuri, tulimsaidia sana kuibwaga ccm akiwa nccr alionekana kama mtu wa kutumainia kwenye ukombozi lakini matokeo yakawa ziro tangia aje dar ana miaka kumi , shamba limekanda sana, naye ni kama jk nchi inaunguzwa na wafanyabiashara yeye anachekelea tu , anavizia safari ya USA. Poor Bagenda, Huu uprince kapewa na nani? aende zake uko
 
Kipindi kile ni wengi waliohadaiwa na kikwete, tulidhani tumepata kumbe tumepatwa. Na kusema ukweli mwaka 2005 kikwete alipita kihalali. <br />
Kuna hali fulani ya baadhi ya watu kukubalika tu kutokana na mvuto wa haiba zao, inaitwa Charismatic ....ndo kilichotukumba wengi mwaka 2005.<br />
Lakini kumbe puuuuuu...hakustahili hata ujumbe wa nyumba 10.<br />
Kiongozi gani mwenye madaraka makubwa kama yeye ndani ya karne ya 21 ana wish angekuwa mvua anyeshe ajaze mtera umeme upatikane .<br />
Anasahau reserve ya makaa ya mawe, zone zenye upepo mkali, gas, geothermal energy sources, uranium, biomass potentials, solar energy tapping potentials etc.
 
hata mi nilizolewa sana na "upepo ule wa mabadiliko". Hadi anavunja baraza la mawaziri bado nilikuwa namwamini tu ndipo nikaanza kurudiwa na fahamu. Nachoshukuru sikuwahi kupigia kura mafiga matatu
 
Bageeeeeeeeeeeenda.....Salva Rweyemamuuuuuuuuuuuuuuu...nani mwingine vile?waandishi wa aina hii wako wengi sana....njaa hizi !
 
Ukitaka kuelewa vizuri character ya JK sikiliza mnanda na mdundiko au nenda uswazi ambako watu wanapelekeana matarumbeta kusutana. Kwao raha tupu.
Na hivi tunavyomsema kwake yy na watu wa aina hiyo wana neno watumialo: 'kutesa kwa zamu'!
 
Juzi jumamosi nikitoka kibaruani nilimpita mtaa wa Jamhuri kama uanaelekea NBC Mnazi mmoja kuna muuza vitabu mtumba ,kama kawaida nilipause niangalie kama naweza kupata chochote. Hamadi nikakumbana na kitabu kimoja kichafu kweli kimeeandikwa JAKAYA KIKWETE TUMAINI JIPYA LILILOREJEA.

MTUNZI WAKE NI PRINCE BAGENDA, nakumbuka niliona kwenye taarifa ya habari uzinduzi wake mwaka 2006,kutokana na kutokuwa na imani na JK sikutaka kukisoma nilijua siku moja historia itamwumbua Ndugu Prince Bagenda. Kutokana na maono yangu yale juzi niliamua kukinunua na weekend hii nimekisoma.

Ama kweli lazima ukubali kwamba JK alijiandaa kuwa Rais kwa nguvu, kwa sifa alizooandikwa na mwandishi, na matukio na mchakato yaliyoripotiwa ni dhahiri jamaa alijipanga. Kama na mwandishi aliyaamini yale aliyokuwa naandika (wakati huo au mpaka sasa) Basi nina waswasi na weledi wa uchambuzi wa siasa wa ndugu BAGENDA. Kama alindika kwa kufuta upepo nampa pole.

Kwa ujumla ni mkwamba kama alivyokuwa Prince Bagenda na wengine wengi walikuwa na matarajio makubwa na Kikwete bila kufanya uchambuzi wa historia yake katika uongozi ,kilichooandikwa humo ni yale matumaini ya kuwa alikuwa CHAGUO LA MUNGU, IMEEANDIKWA WALIOCHANGIA UPATIKANAJI WA KITABU KILE NI ROSTAM AZIZ, MZEE SABODO NA JENERALI ULIMWENGU.

NINA IMANI KUWA WENGINE IKITOKEA ATAANZA KUANDIKA TOLEA LA PILI LA JK TUMAINI LIOLOREJEA SIJUI KAMA WATACHANGIA TENA!KITABU HICHO NITAKIRUDISHA KWA MUUZAJI .......ANAPATIKANA MTAA WA JAMHURI MWISHONI KABIASA KAMA UNAENDA MNAZI MMOJA NBC.

KITABU HICHO YAELEKEA KILIKUWA KINAMILIKIWA NA PRIMU KIBANDA ....KWA SBB KIMEANDIKWA KWA MKONO ....TO PRIMU KIBANDA,FROM THE AUTHOR! SASA KAMA KILIIBWA SIJUI ILA MSIMUONEE KIJANA WA WATU PENGINE MMILIKI ALIKITUPA KAMA TAKA KIKAOKOTWA!
sichangii chochote kwa hili.nacheka kwanza
 
Back
Top Bottom