Au "Rais Awastaafisha Kwa Manufaa ya Umma Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa pamoja na Mkuu wa Majeshi."
Mkwere kaishawasifia tayari this will not happen in Tanzannia
Leo asubuhi nimesikiliza hotuba yake amewasifia mwamunyange na Mwinyi kwa kazi nzuri
Au "Rais Awastaafisha Kwa Manufaa ya Umma Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa pamoja na Mkuu wa Majeshi."
Usiniambie upuuuuzi huu mkuuu! SEMA SI KWELI!Mkwere kaishawasifia tayari this will not happen in Tanzannia
Leo asubuhi nimesikiliza hotuba yake amewasifia mwamunyange na Mwinyi kwa kazi nzuri