kuku dume
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 414
- 62
Wakuu,
Serikali imekuwa ikitupa hadithi sisizo na maana kila bajeti inapofika.
Neno sungura mdogo huwa ni msamiati bungeni kila bajeti inaposomwa.
Kwa kuwa sungura mwenyewe ni wetu ni lazima awe mkubwa hata kwa dawa za 'kichina'.
Misafara ya viongozi wetu kwenda nje huwa haipungui jambo ambalo kwa namna moja au nyingine linafanya sungura kuwa mdogo.
Nahisi ni bora upangilie kidogo ulichonacho kuliko kwenda kuomba usicho na uhakika nacho.
Sijui kama viongozi wa serikali hutumia passport wanazomiliki wao au ni za wananchi.
Kama huwa ni mali zao basi jambo hili litatugharimu milile. Jaribu kukumbuka Balali alivyoligharimu taifa.
Kama wanatumia passport zetu sie watanzania basi ni nafasi kwetu kuwanyang'anya ili kupeleka fedha za safari kwenye matatizo sugu kama mikopo ya wanafunzi elimu ya juu, afya, mishahara nk.
Nawasilisha.
Serikali imekuwa ikitupa hadithi sisizo na maana kila bajeti inapofika.
Neno sungura mdogo huwa ni msamiati bungeni kila bajeti inaposomwa.
Kwa kuwa sungura mwenyewe ni wetu ni lazima awe mkubwa hata kwa dawa za 'kichina'.
Misafara ya viongozi wetu kwenda nje huwa haipungui jambo ambalo kwa namna moja au nyingine linafanya sungura kuwa mdogo.
Nahisi ni bora upangilie kidogo ulichonacho kuliko kwenda kuomba usicho na uhakika nacho.
Sijui kama viongozi wa serikali hutumia passport wanazomiliki wao au ni za wananchi.
Kama huwa ni mali zao basi jambo hili litatugharimu milile. Jaribu kukumbuka Balali alivyoligharimu taifa.
Kama wanatumia passport zetu sie watanzania basi ni nafasi kwetu kuwanyang'anya ili kupeleka fedha za safari kwenye matatizo sugu kama mikopo ya wanafunzi elimu ya juu, afya, mishahara nk.
Nawasilisha.