Waandishi wa habari na vyombo vyao wanatoa habari JK matokeo yamemshtua nawao wamkumbushe mahakamani alipokwenda cku anahutubia nayo ikafuata alisahau? Acwe nazi kwani alitegemea usanii wake ndio utawafunika wote? Na bado yanakuja alafu waandishi nao wasifanywe mbulula waambie wananchi ujinga wa serikali hii na watendaji wake