The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,894
Kuna vitu vingine akizungumza rais hata havipendezi
kwenye hotuba ya jk mwanza jk alisema
'nataka wasanii wa tanzania wawe kama madonna,marehemu michael jackson,
na beyonce......
I mean hata wasanii wa south africa ambao nchi yao ina
strong music industry na uchumi wao umetuzidi zaidi ya mara 40
huwezi sikia mtu akisema wasanii wa nchi hiyo
wawe kama beyonce na madonna.....
Sometimes jk anajishushia heshima bure kabisa........
kwenye hotuba ya jk mwanza jk alisema
'nataka wasanii wa tanzania wawe kama madonna,marehemu michael jackson,
na beyonce......
I mean hata wasanii wa south africa ambao nchi yao ina
strong music industry na uchumi wao umetuzidi zaidi ya mara 40
huwezi sikia mtu akisema wasanii wa nchi hiyo
wawe kama beyonce na madonna.....
Sometimes jk anajishushia heshima bure kabisa........